NHIF vipi?

NHIF vipi?

Jamani hawa NHIF wameanza lini kuita oral? mi kwa experience yangu ya zaidi ya miaka mitatu ya interview zao za written huwa hazina oral ni direct unaitwa kufanya kazi baada ya written,kinachosubiriwa kwa sasa ni simu za kuitwa kazini tuu na hakuna hiyo budget ya oral.
 
Jamani hawa NHIF wameanza lini kuita oral? mi kwa experience yangu ya zaidi ya miaka mitatu ya interview zao za written huwa hazina oral ni direct unaitwa kufanya kazi baada ya written,kinachosubiriwa kwa sasa ni simu za kuitwa kazini tuu na hakuna hiyo budget ya oral.

duu hiyo nayo tamu kama umebatua vizuri ile written
 
Hahaaaaaaa ...ndo nyie mliofanya written interview watu elfu nane wakati nafasi ziko 6! Hahahaaaaa...eeeh vimemoooo tenda miujizaaa...kama kimemo huna sahau..na kama kimemo chepesi basi kimepeperushwa na upepo.. watu wako kwenye training ya kazi mdogo wangu jaribu next time

hahahahaaaaa,hata kama ile written nilipiga 100% wataniacha mkuu kisa sina kimemo??,ila sikukatalii,hii iliwahi pia kunitokea ktk usaili wa pili wa NSSF mwaka jana
 
Back
Top Bottom