steveachi
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 11,342
- 13,364
Tuliofanya Written interview kule Bima ya Afya sasa hivi matumbo joto tukisubiria kama tutaitwa kwenye Oral interview au la.
Jamani eeeeh wenye kujua hawa jamaa kuwa wanaita lini atujuze basi tujue kama tuendelee na uchuuzi wetu samaki hapa soko la ferry au tuingie chimbo tukajiandae na nondo za Oral.
Naomba kuwasilisha ​
Jamani eeeeh wenye kujua hawa jamaa kuwa wanaita lini atujuze basi tujue kama tuendelee na uchuuzi wetu samaki hapa soko la ferry au tuingie chimbo tukajiandae na nondo za Oral.
Naomba kuwasilisha ​