Subiri, hii ni Tanzania ileile, mdogomdogo!Mlijitangaza sana kwa mbwembe kwamba kabla ya mwisho wa mwezi March 2019 mtakuwa mmeleta vifurushi vya aina mbali mbali ili kuwawezesha Watanzania wa viwango tofauti tofauti vya kifedha kujiunga. Tuko mwezi June sasa. Ahadi zenu zimeyeyuka?