Maelezo yako ni sahihi lakini kuna swala kwamba ukichelewa Ku renew bima ya mtoto huduma zinasitishwa kwa miezi mitatu baada ya kulipia nadhani hii sio sawa,kwanini wasiweke faini kwa kuchelewa kulipia lakini huduma irejeshwe baada ya malipo? maana hakuna wanachopoteza na badala yake wangeongeza mapato kutokana na hizo faini.... lengo ni kuhakikisha hakuna anayekimbilia kukata bima baada ya tatizo la ugonjwa kutokea; sio utaratibu wa bima yoyote huo. Risks ndizo zinakatiwa bima na sio issues. Ajali ya gari imeshatokea ndio unaenda kukata bima, sivyo bima ilivyo! Unatakiwa uikate kabla ya ajali yaani wakati huna uhakika kama ajali itatokea au haitatokea.
Ikiruhusiwa bima (NHIF au mfuko mwingne wowote) zikatwe baada ya ugonjwa kutokea mfuko utafilisika kwa sababu kila mtu ataenda kukata bima baada ya kujiridhisha kuwa ni mgonjwa. This means atakacholipa ndicho kitakachotumika kumtibu na pengine huenda kisitoshe unadhani sustainability ya mfuko itakuwaje?
Sustainability ya bima ya afya inataka wagonjwa wawe wachache sana kuliko wazima. Wanachama wazima wasiougua mara kwa mara ndio husaidia ku-top kwa wengine wagonjwa wa mara kwa mara na gharama nyingine za uendeshaji wa mfuko including mishahara, kodi, n.k.
Logic yake ndio hiyo!
Ok, naweza mkatia mtoto 1 tu pekee au mpaka iwe kundi la watu kadhaa mkuu? Ufafanuzi
... sijui Mkuu. Labda ukitembelea tovuti yao unaweza kupata details.Hivi mkuu Toto afya card ni tsh ngapi kwa mwaka?
Hili hata mimi limenitokea nilichelewa ku renew kadi ya mtoto wameniambia mpaka mienzi mitatu ndio itafanya kazi tenaMaelezo yako ni sahihi lakini kuna swala kwamba ukichelewa Ku renew bima ya mtoto huduma zinasitishwa kwa miezi mitatu baada ya kulipia nadhani hii sio sawa,kwanini wasiweke faini kwa kuchelewa kulipia lakini huduma irejeshwe baada ya malipo? maana hakuna wanachopoteza na badala yake wangeongeza mapato kutokana na hizo faini.
mkuu umetoa maelekezo safi kabisa... lengo ni kuhakikisha hakuna anayekimbilia kukata bima baada ya tatizo la ugonjwa kutokea; sio utaratibu wa bima yoyote huo. Risks ndizo zinakatiwa bima na sio issues. Ajali ya gari imeshatokea ndio unaenda kukata bima, sivyo bima ilivyo! Unatakiwa uikate kabla ya ajali yaani wakati huna uhakika kama ajali itatokea au haitatokea.
Ikiruhusiwa bima (NHIF au mfuko mwingne wowote) zikatwe baada ya ugonjwa kutokea mfuko utafilisika kwa sababu kila mtu ataenda kukata bima baada ya kujiridhisha kuwa ni mgonjwa. This means atakacholipa ndicho kitakachotumika kumtibu na pengine huenda kisitoshe unadhani sustainability ya mfuko itakuwaje?
Sustainability ya bima ya afya inataka wagonjwa wawe wachache sana kuliko wazima. Wanachama wazima wasiougua mara kwa mara ndio husaidia ku-top kwa wengine wagonjwa wa mara kwa mara na gharama nyingine za uendeshaji wa mfuko including mishahara, kodi, n.k.
Logic yake ndio hiyo!
Kwa hilo ukienda kwenye ofisi zao watakupa vifurushi utachaguamkuu umetoa maelekezo safi kabisa
vipi unauelewa na namna ya kufungua bima ya binafsi kwa mtu asiyemtumishi wa kuajiriwa yaani wa kawaida
Bima ya 40 iko vipi hiyo?Kwa hilo ukienda kwenye ofisi zao watakupa vifurushi utachagua
Pia nenda ofisi yako ya kata hapo kuna bima nhif cheap ya 40,000/-
Mtoto mmoja anakatiwa separate.. Uwe na cheti chake cha kuzaliwa tu!Ok, naweza mkatia mtoto 1 tu pekee au mpaka iwe kundi la watu kadhaa mkuu? Ufafanuzi
Hakuna NHIF ya bei hiyo labda anazungumzia CHFBima ya 40 iko vipi hiyo?
Hata week tu inatoshaZote mnazotoa siyo sababu ya msingi! Wangeweza hata kuweka siku 14 ingetosha!
Hivi hi CHF huwa iko vip mkuu?Hakuna NHIF ya bei hiyo labda anazungumzia CHF
Ni ya mtu mmoja ila unatibiwa kwenye hospital za wilayaBima ya 40 iko vipi hiyo?
Upo sahihi mkuumbona bima ya gari tukikata hawatuambii tuje baada ya siku 90 kuchukua stica
Chf ni jina tu la kifurushi ni hao hao Nhif ambapo serikali nayo kupitia halmashauri inachangia gharama kidogoHivi hi CHF huwa iko vip mkuu?