NHIF kwa hili hamtutendei haki Toto afya card

... lengo ni kuhakikisha hakuna anayekimbilia kukata bima baada ya tatizo la ugonjwa kutokea; sio utaratibu wa bima yoyote huo. Risks ndizo zinakatiwa bima na sio issues. Ajali ya gari imeshatokea ndio unaenda kukata bima, sivyo bima ilivyo! Unatakiwa uikate kabla ya ajali yaani wakati huna uhakika kama ajali itatokea au haitatokea.

Ikiruhusiwa bima (NHIF au mfuko mwingne wowote) zikatwe baada ya ugonjwa kutokea mfuko utafilisika kwa sababu kila mtu ataenda kukata bima baada ya kujiridhisha kuwa ni mgonjwa. This means atakacholipa ndicho kitakachotumika kumtibu na pengine huenda kisitoshe unadhani sustainability ya mfuko itakuwaje?

Sustainability ya bima ya afya inataka wagonjwa wawe wachache sana kuliko wazima. Wanachama wazima wasiougua mara kwa mara ndio husaidia ku-top kwa wengine wagonjwa wa mara kwa mara na gharama nyingine za uendeshaji wa mfuko including mishahara, kodi, n.k.

Logic yake ndio hiyo!
Maelezo yako ni sahihi lakini kuna swala kwamba ukichelewa Ku renew bima ya mtoto huduma zinasitishwa kwa miezi mitatu baada ya kulipia nadhani hii sio sawa,kwanini wasiweke faini kwa kuchelewa kulipia lakini huduma irejeshwe baada ya malipo? maana hakuna wanachopoteza na badala yake wangeongeza mapato kutokana na hizo faini.
 
Utaratibu wa bima za afya nchi nyingi Ni huo Sio NHIF tu. Waiting period miezi 3 bima iwe mature.

Kuepuka wale wanaoenda kukata bima wakiwa wagonjwa, kaandikiwa operation baada ya mwezi anaona akakate bima isimamie operation.
Unapewa miezi mitatu ya kuchangia tu, huduma baadae.
 
Maelezo yako ni sahihi lakini kuna swala kwamba ukichelewa Ku renew bima ya mtoto huduma zinasitishwa kwa miezi mitatu baada ya kulipia nadhani hii sio sawa,kwanini wasiweke faini kwa kuchelewa kulipia lakini huduma irejeshwe baada ya malipo? maana hakuna wanachopoteza na badala yake wangeongeza mapato kutokana na hizo faini.
Hili hata mimi limenitokea nilichelewa ku renew kadi ya mtoto wameniambia mpaka mienzi mitatu ndio itafanya kazi tena

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
... lengo ni kuhakikisha hakuna anayekimbilia kukata bima baada ya tatizo la ugonjwa kutokea; sio utaratibu wa bima yoyote huo. Risks ndizo zinakatiwa bima na sio issues. Ajali ya gari imeshatokea ndio unaenda kukata bima, sivyo bima ilivyo! Unatakiwa uikate kabla ya ajali yaani wakati huna uhakika kama ajali itatokea au haitatokea.

Ikiruhusiwa bima (NHIF au mfuko mwingne wowote) zikatwe baada ya ugonjwa kutokea mfuko utafilisika kwa sababu kila mtu ataenda kukata bima baada ya kujiridhisha kuwa ni mgonjwa. This means atakacholipa ndicho kitakachotumika kumtibu na pengine huenda kisitoshe unadhani sustainability ya mfuko itakuwaje?

Sustainability ya bima ya afya inataka wagonjwa wawe wachache sana kuliko wazima. Wanachama wazima wasiougua mara kwa mara ndio husaidia ku-top kwa wengine wagonjwa wa mara kwa mara na gharama nyingine za uendeshaji wa mfuko including mishahara, kodi, n.k.

Logic yake ndio hiyo!
mkuu umetoa maelekezo safi kabisa

vipi unauelewa na namna ya kufungua bima ya binafsi kwa mtu asiyemtumishi wa kuajiriwa yaani wa kawaida
 
mkuu umetoa maelekezo safi kabisa

vipi unauelewa na namna ya kufungua bima ya binafsi kwa mtu asiyemtumishi wa kuajiriwa yaani wa kawaida
Kwa hilo ukienda kwenye ofisi zao watakupa vifurushi utachagua
Pia nenda ofisi yako ya kata hapo kuna bima nhif cheap ya 40,000/-
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom