Mara nyingi yamekua yakisemwa mengi,pengine ni kutokana na msukumo wa kimakundi kutokana na ukuaji wa chama ama vinginevyo.Watanzania wamekua wakiendelea kushuhudia mengi toka kwa wabunge wetu wa CHADEMA.
Swali la msingi ni kua,wapi wanaobeba sura ya uzalendo,ubinafsi wa umaarufu wao kwa malengo yao na mengineyo?
GT,tujaribu kuchambua kwa kina pasipo matusi,kuwasaidia watanzania angalau kupata dondoo toka kwetu.
Idadi ya wafatiliaji wa mtandao huu inazidi kuongezeka hivyo tutumie hoja kwenye uchambuzi wetu.
Swali la msingi ni kua,wapi wanaobeba sura ya uzalendo,ubinafsi wa umaarufu wao kwa malengo yao na mengineyo?
GT,tujaribu kuchambua kwa kina pasipo matusi,kuwasaidia watanzania angalau kupata dondoo toka kwetu.
Idadi ya wafatiliaji wa mtandao huu inazidi kuongezeka hivyo tutumie hoja kwenye uchambuzi wetu.