Mabadiliko yanaenda kwa hatua. Haiwezekani kutoka kuitwa maiti halafu ghafla tu walete mabadiliko. Kila hatua eatajifunza wamekosea wapi mpaka itafika siku watakuja na mkakati uliokamilika na kufamikisha lengontakuwa tofauti kidogo,
curfew sio mafanikio hata kidogo... maana target ni kuiondoa serikali dhalimu iliyo madarakani..siku hilo likifanikiwa ndio ntasema okay Gen z wamefanikiwa.
Sawa sawaMabadiliko yanaenda kwa hatua. Haiwezekani kutoka kuitwa maiti halafu ghafla tu walete mabadiliko. Kila hatua eatajifunza wamekosea wapi mpaka itafika siku watakuja na mkakati uliokamilika na kufamikisha lengo