Nguvu ya dola (state)

Dola ni wananchi,kama nguvu ya wananchi itakanyagwa basi alie ikanyaga anajitafutia hatar maana haijawahi kushindwa.
 
Alafu cha ajabu sasa nguvu ya dola haikuwahi kuishinda nguvu ya UMMA ikiamua.
Zingatia neno ikiamua, Tz fursa nyingi sana, vijana sio rahisi kuamua maamuzi magumu.

Mvua za kutosha, fresh water bodies, ardhi yenye rutuba, madini, bahari, bandari, masoko, viwanda... ilimradi watu wanapapatua maisha yanaenda sio rahisi kuamua maamuzi magumu.

Baya zaidi viongozi wa maamuzi wengi wao wakifika bei, wananunulika.
 
"Endapo wengi wakijua nguvu ya dola, hata kuitaja kwa utani wangekuwa wanavaa tai kwanza, achilia mbali kuikanyaga miguu!" πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚β€” Alloyce, P.R.
Kuna dola na kuna UMMA!
Dola ni kichaka cha maovu... UMMA ukiamua vichaka vitafyekwa vyote!
Mabomu na Risasi za polisi hazijawahi kushinda nguvu ya UMMA!
Kifupi ni kwamba Bi SASHA hatakiwi!
Tik Tok! Tik Tok!
 
πŸ˜„πŸ˜„ pesa ni shina la mabaya ,kila mtu anaangalia maslahi yake binafsi.
 
Kama kwenye Avatar niwewe. Si kosa lako maana ni bonge moja la mshamba hata mambo yako ni ya kishamba kishamba sana. Halafu jitu zima unajitoa akili lione kwanza.
 
"Endapo wengi wakijua nguvu ya dola, hata kuitaja kwa utani wangekuwa wanavaa tai kwanza, achilia mbali kuikanyaga miguu!" πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚β€” Alloyce, P.R.
Na dola ikijua nguvu ya umma itaacha ujinga
 
Kama kwenye Avatar niwewe. Si kosa lako maana ni bonge moja la mshamba hata mambo yako ni ya kishamba kishamba sana. Halafu jitu zima unajitoa akili lione kwanza.
Sawa bantu lady, nimejiona. Ila sitakujibu unavyotaka kwa kuwa wewe ni lady. Naishia kusema nimejiona nilivyo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
"Endapo wengi wakijua nguvu ya dola, hata kuitaja kwa utani wangekuwa wanavaa tai kwanza, achilia mbali kuikanyaga miguu!" πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚β€” Alloyce, P.R.
The Arab Spring proves otherwise.
 
Kabsaa
 
The Arab Spring proves otherwise.
"Sometimes it can be true, revolutions like the Arab Spring do happen. But my quote isn’t about revolting against power; it’s about respecting the idea of power, even when joking. Arab Spring was a cry of desperation, not a punchline. Before you mock the state for fun, at least understand its gravity, or as I said, wear a tie first before stepping on it, even in jest!" πŸ˜„
 
Kuna Dola Ina nguvu ila sio dola hii ya Tanzania, mimi nakwambia yanayofanyika mtakuja kuniambia, kunaliponza jeshi la polisi itatokea siku watu wataacha kupenda kuwa polisi, wakiana kuuliwa mmoja baada ya mwingine hapo ndo watajua dola ina nguvu, si tupo. mnashitaki watu hawajafanya uhaini, siku wakifanya ndo mtajua mana ya uhaini, Kuna kitu kinaitwa Sniper riffler , watu wakichoka wanamtungua yoyote, na tulivyo wazembe. utaona kama kampeni zitaisha mtu hajapigwa sniper riffler
 
Haisee πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ na ukweli wewe unaonekana umechoka. Hadi umeamua kutoa ya moyoni, ila jitahidi sana unapojenga hoja usitangulize hisia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…