mkuu sorry jana tulitofautiana kimtazamo juu ya hii insu,hapo hapo baada ya jibu lako nikaikumbuka kauli ya Mwl wangu chuoni alipokuwa antufundisha mambo ya monetary economics kuwa hakuna bishara duniani ambayo unaweza kuifanya bila kudhurumu mtu ila ni forex pekee ndipo leo nilipokuwa ofisini niliamua kwenda chimbo kidogo kuhusiana na hii kitu kwa kweli nikiri forex sio kamali ila ukitazama kwa juu juu pasipo kuwa na knowledge na concepts za kiuchumi unaweza kusema ni kamari but ni vitu viwili tofautiKama kila kitu kinachoinvolve probability duniani ni kamari, basi hakuna biashara ambayo itasalimika. Katika naomba usijitoe akili. Unless kama unaongelea probability and probability yenyewe ukawa huijui....
Haina shida mkuu ni katika kujifunza.... Uwe na amani moyoni mwako....mkuu sorry jana tulitofautiana kimtazamo juu ya hii insu,hapo hapo baada ya jibu lako nikaikumbuka kauli ya Mwl wangu chuoni alipokuwa antufundisha mambo ya monetary economics kuwa hakuna bishara duniani ambayo unaweza kuifanya bila kudhurumu mtu ila ni forex pekee ndipo leo nilipokuwa ofisini niliamua kwenda chimbo kidogo kuhusiana na hii kitu kwa kweli nikiri forex sio kamali ila ukitazama kwa juu juu pasipo kuwa na knowledge na concepts za kiuchumi unaweza kusema ni kamari but ni vitu viwili tofauti
mbona kuna option ya kuignore hebu jaribu kuitumia hiyoKuna haja jamiiforum waanzishe utaratibu wa kumblock mtu kama ilivyo mitandao mingine ya kijamii maana kuna watu wanakera mpka basi
Daah, kila siku napita hapa kuangalia kama the bold amepost muendelezo nakuta hola, kulikoni?
I have texted you mkuu, your support is crucialBila tatizo
Ni wewe tu na capital yako
Na risk management.
Acha ushamba kuquote uzi mzima halaf hauna la maana
Hivi wewe ukinunua gunia la mahindi kipindi bei ipo chini then uuze baadae kidogo bei ikipanda, hiyo ni kamari pia ?Hoja iko wapi hapo? Forex ni kamari, kamari ni haram, anza kubisha hapo.
Mkuu jestikila tunga yako ambyo hutaweka kwa group tuinjoy mkuuShida ya bwana huyu kama haupo group lake kule ujue hapa kumaliza stori ni shughuli hapa atakuja na stori ingine utaskia hii itaendelea..
Kamari haina uzalishaji mali/huduma, ninapouza mahindi ni kwamba nimetoa huduma ya ugavi, regardless nimepata hasara/ faida, hivyo si kamari.Hivi wewe ukinunua gunia la mahindi kipindi bei ipo chini then uuze baadae kidogo bei ikipanda, hiyo ni kamari pia ?
Mkuu jestikila tunga yako ambyo hutaweka kwa group tuinjoy mkuu
Kamari haina uzalishaji mali/huduma, ninapouza mahindi ni kwamba nimetoa huduma ya ugavi, regardless nimepata hasara/ faida, hivyo si kamari.
Sawa mrwandaMe nshaisoma naijua sipati tabu vitu vipo hiv kama una muda wa kuchimba wacha tusubiri ya the bold hapa tena
Sawa mrwanda
Yana nikishamuona mtu anayemsifia mtu na kuweka neno IQ namuona limbukeni sanajamani msimbishie francis da don huyo ana akili sana na amegundua pasipo shaka kuwa forex trading ni Kamari. yaani jamaa ni kichwa hatari. msiwe mnambishia anajua mambo huyo mweshimiwa kupita maelezo. IQ yake ni hatari
big down francis da don