Mbolabilika
JF-Expert Member
- Jul 30, 2019
- 2,126
- 2,860
Inaonekana watu wengi wanataman kupata picha ni nini ,inakuaje wanahisi Kama story za jinamizi tu , Ila sasa shida inakuja waanaoielezea forex pia hawaijui kwahiyo wanaelezea forex ya historia bado mtu anabaki na maswali yake ndio nini hiyo forex . huwezi kuweza kuelezea forex kwa kusoma vitabu vya kele . Ili uelewe ni nini hiyo forex anaelezea awe trader wa hiyo forex yenyewe ila kwa kutumia vitabu utaelezea historia tu sio forex.