Ngurumo: Ni kaburi la CCM au CHADEMA?

Ngurumo: Ni kaburi la CCM au CHADEMA?

ndo maana tunakundaa kwa ajili ya ukombozi wa MUleba kaskazini
 
Waandishi wa namna hii ni disaster kweli kweli, Hivi hajui Chama na mwanachama ni zaidi ya kuku na Yai, Chama kinachoshindwa kumtendea haki mwanachama, wala hakiwezi kufika mbali.
Chama kinachowapikia jungu wananchama wake eti kisa wasigombee uenyekiti, ni chama kinachojichinja chenyewe.
Mwandishi ameonyesha ushabiki wa hali ya juu huku akijitwika joho la falsafa, "eti kitakufa kwa sababu kila chenye mwanzo kina mwisho". SO WHAT IF MWANZO NI 1992 NA MWANZO WA MWISHO NI 2013?.
Bahati mbaya sana mwandishi hajaeleza ni kwa namna gani chama hushamiri, na ni kwa namna gani chama hufa. LABDA NIMKUMBUSHE TU KWAMBA, HAKI KWA KILA MWANANCHAMA NDIYO MSINGI WA UHAI WA CHAMA. NA WAJIBU WA KILA MWANACHAMA NDIYO HUKIFANYA CHAMA KISHAMIRI ZAIDI.
kwa kuwatungia tuhuma za kizushi, Viongozi wa juu, halafu ukawahukumu viongozi hao, HALAFU UKAANZA KUTAMBA KAMA ZUZU ETI CHAMA KIMEFANYA MAAMUZI MAGUMU NI UJUHA WA HALI YA JUU.
Kwa hiyo tatizo la zitto ni UENYEKITI WA CHADEMA?
 
Well said Ngurumo, CCM haina products za kuwauzia wananchi tena, wananchi wameathirika vya kutosha kwa kulishwa bidhaa zenye sumu ... il kuna wale ambao njaa imewazidi kama akina pasco et al bado wanaendelea kuganga njaa ndiyo maana unaona mabango ambayo haya kemei kupanda kwa gharama za maisha, haya kemei tembo kumalizwa, hawaandiki mabango ya kukataa kupandishwa kwa gharama za umeme na kutozwa kodi hadi kwenye line za simu bali wanaandika eti zitto kwanza chama baadae! kwanini wasimpe dada zao ili aachane na mwanaasha?...
 
!
!
ningemzabua makofi angekuwa karibu yangu




Ndyo kwaida yao hao uvccm wanataka madaraka kwa kutumia mgongo wa udini.. Nadhani ccm kuna janga wanataka kutuletea vita kubwa ya kidini na kikabila..watanzania tuwe makini na hyu mdudu shetani ccm ni majanga..
 
Akhsanta KAMANDA kwa uchambuzi makini,magambalism wanagwayagwaya kifo chao kimetimia na hakiepukiki hata kwa dua za mkesha.BYBY CCM IACHENI TANZANIA IJENGWE NA WAZALENDO WENYE MOYO.,mmetutesa sana,mmetudhalilisha sana "KAMA TAIFA TWASEMA SASA BASI,YATOSHA".

Ameandika vizruri cha msingi achungel macho yake, kucha, meno na korodani zake wasije wakamkibanda na kumlimboka
 
Ameandika vizruri cha msingi achungel macho yake, kucha, meno na korodani zake wasije wakamkibanda na kumlimboka

Uuuumph!!!Ndipo tulipofika."wanasahau ya kwamba "KWA MOLA SOTE TUTAREJEA"
 
Back
Top Bottom