Waandishi wa namna hii ni disaster kweli kweli, Hivi hajui Chama na mwanachama ni zaidi ya kuku na Yai, Chama kinachoshindwa kumtendea haki mwanachama, wala hakiwezi kufika mbali.
Chama kinachowapikia jungu wananchama wake eti kisa wasigombee uenyekiti, ni chama kinachojichinja chenyewe.
Mwandishi ameonyesha ushabiki wa hali ya juu huku akijitwika joho la falsafa, "eti kitakufa kwa sababu kila chenye mwanzo kina mwisho". SO WHAT IF MWANZO NI 1992 NA MWANZO WA MWISHO NI 2013?.
Bahati mbaya sana mwandishi hajaeleza ni kwa namna gani chama hushamiri, na ni kwa namna gani chama hufa. LABDA NIMKUMBUSHE TU KWAMBA, HAKI KWA KILA MWANANCHAMA NDIYO MSINGI WA UHAI WA CHAMA. NA WAJIBU WA KILA MWANACHAMA NDIYO HUKIFANYA CHAMA KISHAMIRI ZAIDI.
kwa kuwatungia tuhuma za kizushi, Viongozi wa juu, halafu ukawahukumu viongozi hao, HALAFU UKAANZA KUTAMBA KAMA ZUZU ETI CHAMA KIMEFANYA MAAMUZI MAGUMU NI UJUHA WA HALI YA JUU.