Ngome ya Vijana ACT Wazalendo waililia Kigoma

Abdul Nondo

JF-Expert Member
Oct 28, 2016
515
2,875
Na
Jesca Lutego

Mwenyekiti wa Ngome ya vijana ACT Wazalendo Taifa Abdul Nondo, akiongea na vijana katika mkutano wa Naibu katibu Mkuu Ndug. Joram Bashange

Aidha Abdul Nondo , ameelezea changamoto ya vijana na wakazi wa Jimbo la Kigoma Mjini kuhusu changamoto ya shughuli za kiuchumi, mzunguko wa fedha na ukosefu wa ajira akisema Kigoma ni fukara , Kigoma hakuna mzunguko wa fedha na shughuli za kiuchumi zimedorora, vijana hawana ajira na sababu kubwa ni serikali kwa makusudi kuanzia mwaka 2015 kuzuia miradi ya kiuchumi na kimaendeleo Kigoma ambayo ilitafutwa na aliyekuwa Mbunge Zitto Zuberi Kabwe na Manispaa.

Amesema kuwa mradi wa maboresho ya Bandari ya Kigoma Mjini, ambapo Shirika la JICA la JAPAN lilitoa fedha za msaaada Tsh. Bilion 100 ili kuboresha Bandari ya Kigoma Mjini ila serikali ya awamu ya tano ilizizuia anamuomba Mh. Rais Samia , anamuomba Makamu wa Rais Mh. Mpango na Mh. Mwigulu Nchemba kuziachia fedha hizo ili kusaidia maboresho ya Bandari Kigoma ili kufaidika na fursa za kiuchumi kupitia nchi jirani za Congo na Burundi.Nondo amekumbushia tena suala la matengenezo ya meli hata umuhimu wa kuletwa meli mpya ili wakazi wa Kigoma mjini wanufaike na shughuli za kiuchumi kuongezeka.

Pia, Mwenyekiti Nondo amesema Bandari ikiboreshwa,Reli ya kati ya Standard Gauge pia inapaswa kuunganishwa haraka, bila kusubiri ya kutokea Tabora kwenda Mwanza kuisha kwani inawezekana kabisa serikali kutafuta Mkandarasi ambaye ataanzia Tabora hadi Kigoma ili Kigoma kunufaika kiuchumi.
 
Na
Jesca Lutego

Mwenyekiti wa Ngome ya vijana ACT Wazalendo Taifa Abdul Nondo, akiongea na vijana katika mkutano wa Naibu katibu Mkuu Ndug. Joram Bashange

Aidha Abdul Nondo , ameelezea changamoto ya vijana na wakazi wa Jimbo la Kigoma Mjini kuhusu changamoto ya shughuli za kiuchumi, mzunguko wa fedha na ukosefu wa ajira akisema Kigoma ni fukara , Kigoma hakuna mzunguko wa fedha na shughuli za kiuchumi zimedorora, vijana hawana ajira na sababu kubwa ni serikali kwa makusudi kuanzia mwaka 2015 kuzuia miradi ya kiuchumi na kimaendeleo Kigoma ambayo ilitafutwa na aliyekuwa Mbunge Zitto Zuberi Kabwe na Manispaa.

Amesema kuwa mradi wa maboresho ya Bandari ya Kigoma Mjini, ambapo Shirika la JICA la JAPAN lilitoa fedha za msaaada Tsh. Bilion 100 ili kuboresha Bandari ya Kigoma Mjini ila serikali ya awamu ya tano ilizizuia anamuomba Mh. Rais Samia , anamuomba Makamu wa Rais Mh. Mpango na Mh. Mwigulu Nchemba kuziachia fedha hizo ili kusaidia maboresho ya Bandari Kigoma ili kufaidika na fursa za kiuchumi kupitia nchi jirani za Congo na Burundi.Nondo amekumbushia tena suala la matengenezo ya meli hata umuhimu wa kuletwa meli mpya ili wakazi wa Kigoma mjini wanufaike na shughuli za kiuchumi kuongezeka.

Pia, Mwenyekiti Nondo amesema Bandari ikiboreshwa,Reli ya kati ya Standard Gauge pia inapaswa kuunganishwa haraka, bila kusubiri ya kutokea Tabora kwenda Mwanza kuisha kwani inawezekana kabisa serikali kutafuta Mkandarasi ambaye ataanzia Tabora hadi Kigoma ili Kigoma kunufaika kiuchumi.
Nyie wacongoman acheni ukabila, kila Leo nyie na huyo zitto wenu mnaisemea kigona tuu, as if Tanzania kuna kigoma. Kalilieni huko kalemii kama Hamna hoja
 
Mkuu Abdul Nondo, Ngome ya Vijana ya ACT-Wazalendo haina Afisa Habari? Haipendezi wala kunoga kuona habari ambayo wewe ndiye uliyesema na kufanya inaletwa na wewe mwenyewe. Halafu, uwe unajibu michango ya wadau humu. Acha tabia ya kuandika na kupotea. JF si gazeti, ni sehemu ya mijadala. Kila la heri mdogo wangu!
 
Kigoma, kigoma, Kigoma! Chama cha wabinafsi
wacha tu kudorore sababu watu wa kigoma ni wabinafsi na wapenda majungu.mkoa umejaa uswahili tu.acha mikoa mingine itamalaki kigoma waendelee na majungu yao kama majungu ni mtaji.kigoma kila mtu ni mjuaji na mbishi na hata wakishauriwa hawashauriki wabaki wanavyotaka.huyu nondo si alijiteka mwenyewe leo naye kawa kiongozi wa ACT.kigoma leka tutigite.
 
Yaani haka kanondo nikajinga Sana, Kila siku ye kigoma, zito. Sasa hujapata unaonekana mbinasfi je siku ukiwa mtu mkubwa si hatar. Punguzi udini na ukanda we bado mchanga Sana ktk siasa.
hawa si wenzetu ni wakongo na warundi (watusi na wahutu) ndo maana ubinafsi kwao ni jadi yao.huo mkoa ulikuwa sehemu ya burundi huku uliletwa kimakosa.hakuna mtanzania huko ndo maana wanaongelea kigoma tu.mbona hatuwasikii wachaga,wahehe,wangoni,nk bali ni hawa tu warundi na wakongo.
 
hawa si wenzetu ni wakongo na warundi (watusi na wahutu) ndo maana ubinafsi kwao ni jadi yao.huo mkoa ulikuwa sehemu ya burundi huku uliletwa kimakosa.hakuna mtanzania huko ndo maana wanaongelea kigoma tu.mbona hatuwasikii wachaga,wahehe,wangoni,nk bali ni hawa tu warundi na wakongo.
Hawa ni hatari sn kila siku Kigoma Kigoma utadhani nchi ni Kigoma pekee
 
Mkuu Abdul Nondo, Ngome ya Vijana ya ACT-Wazalendo haina Afisa Habari? Haipendezi wala kunoga kuona habari ambayo wewe ndiye uliyesema na kufanya inaletwa na wewe mwenyewe. Halafu, uwe unajibu michango ya wadau humu. Acha tabia ya kuandika na kupotea. JF si gazeti, ni sehemu ya mijadala. Kila la heri mdogo wangu!
Amejaa ukabila, ukanda na udini
 
Na
Jesca Lutego

Mwenyekiti wa Ngome ya vijana ACT Wazalendo Taifa Abdul Nondo, akiongea na vijana katika mkutano wa Naibu katibu Mkuu Ndug. Joram Bashange

Aidha Abdul Nondo , ameelezea changamoto ya vijana na wakazi wa Jimbo la Kigoma Mjini kuhusu changamoto ya shughuli za kiuchumi, mzunguko wa fedha na ukosefu wa ajira akisema Kigoma ni fukara , Kigoma hakuna mzunguko wa fedha na shughuli za kiuchumi zimedorora, vijana hawana ajira na sababu kubwa ni serikali kwa makusudi kuanzia mwaka 2015 kuzuia miradi ya kiuchumi na kimaendeleo Kigoma ambayo ilitafutwa na aliyekuwa Mbunge Zitto Zuberi Kabwe na Manispaa.

Amesema kuwa mradi wa maboresho ya Bandari ya Kigoma Mjini, ambapo Shirika la JICA la JAPAN lilitoa fedha za msaaada Tsh. Bilion 100 ili kuboresha Bandari ya Kigoma Mjini ila serikali ya awamu ya tano ilizizuia anamuomba Mh. Rais Samia , anamuomba Makamu wa Rais Mh. Mpango na Mh. Mwigulu Nchemba kuziachia fedha hizo ili kusaidia maboresho ya Bandari Kigoma ili kufaidika na fursa za kiuchumi kupitia nchi jirani za Congo na Burundi.Nondo amekumbushia tena suala la matengenezo ya meli hata umuhimu wa kuletwa meli mpya ili wakazi wa Kigoma mjini wanufaike na shughuli za kiuchumi kuongezeka.

Pia, Mwenyekiti Nondo amesema Bandari ikiboreshwa,Reli ya kati ya Standard Gauge pia inapaswa kuunganishwa haraka, bila kusubiri ya kutokea Tabora kwenda Mwanza kuisha kwani inawezekana kabisa serikali kutafuta Mkandarasi ambaye ataanzia Tabora hadi Kigoma ili Kigoma kunufaika kiuchumi.
Kigoma mnasumbuliwa na ujuaji na uchawa huku kwenu mnapenda kufanya kazi laini laini ardhi ipo ya kutosha hamuifanyii kazi! Watu wanakuja kulima kigoma wanavuna pesa mpo mnatoa macho! Nenda kibondo,uvinza na maeneo mengine kigoma watu wa kuja ndo wamejaa hata juzi kulikiwa na ugawaji wa miche ya michikichi wasukuma ndo wanagawiwa wana kigoma wanatoaa macho na ujuaji mwingi! Endeleni kusubiri Serkali ya CCM ambayo tokea uhuru mewaterekeza!
 
Na
Jesca Lutego

Mwenyekiti wa Ngome ya vijana ACT Wazalendo Taifa Abdul Nondo, akiongea na vijana katika mkutano wa Naibu katibu Mkuu Ndug. Joram Bashange

Aidha Abdul Nondo , ameelezea changamoto ya vijana na wakazi wa Jimbo la Kigoma Mjini kuhusu changamoto ya shughuli za kiuchumi, mzunguko wa fedha na ukosefu wa ajira akisema Kigoma ni fukara , Kigoma hakuna mzunguko wa fedha na shughuli za kiuchumi zimedorora, vijana hawana ajira na sababu kubwa ni serikali kwa makusudi kuanzia mwaka 2015 kuzuia miradi ya kiuchumi na kimaendeleo Kigoma ambayo ilitafutwa na aliyekuwa Mbunge Zitto Zuberi Kabwe na Manispaa.

Amesema kuwa mradi wa maboresho ya Bandari ya Kigoma Mjini, ambapo Shirika la JICA la JAPAN lilitoa fedha za msaaada Tsh. Bilion 100 ili kuboresha Bandari ya Kigoma Mjini ila serikali ya awamu ya tano ilizizuia anamuomba Mh. Rais Samia , anamuomba Makamu wa Rais Mh. Mpango na Mh. Mwigulu Nchemba kuziachia fedha hizo ili kusaidia maboresho ya Bandari Kigoma ili kufaidika na fursa za kiuchumi kupitia nchi jirani za Congo na Burundi.Nondo amekumbushia tena suala la matengenezo ya meli hata umuhimu wa kuletwa meli mpya ili wakazi wa Kigoma mjini wanufaike na shughuli za kiuchumi kuongezeka.

Pia, Mwenyekiti Nondo amesema Bandari ikiboreshwa,Reli ya kati ya Standard Gauge pia inapaswa kuunganishwa haraka, bila kusubiri ya kutokea Tabora kwenda Mwanza kuisha kwani inawezekana kabisa serikali kutafuta Mkandarasi ambaye ataanzia Tabora hadi Kigoma ili Kigoma kunufaika kiuchumi.
Unaongelea awamu ya tano ilikataa umesahau kuwa ambaye ni Rais wa sasa alikiwa Makumu wa Rais na Makamu wa Rais alikiwa Waziri wa fedha! Kigoma tulieni nyinyi ni machawa wakuu ni Zitto,Wewe Nondo,Mwijaku na Baba Revo! Wote ni ujuaji tu! Bakini hivo hivo!
 
Hiki chama chako cha kibaguzi sn, wewe na Zito huwa mnaongelea matatizo ya Kigoma pekee utadhani sehemu nyingine hawana matatizo kila mtu akisimama kutetea kwao sijui kama sehemu zingine watapata mtetezi, nyie ni wabaguzi sn kuanzia ubaguzi wa kidini mpaka wa kikabila.
Bila kujali kuchoma au mtia hoja kayokra wapo, je, hoja zake hazina mashiko kweli. Sio kweli. Kama tunayo dhamira ya dhati kuimarisha biashara kati yetu na DRC na Burundi hoja ya kuboresha bandari ya kigoma, kujenga meli mpya za kisasa na reli haviepukiki. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake apewe.
 
Bila kujali kuchoma au mtia hoja kayokra wapo, je, hoja zake hazina mashiko kweli. Sio kweli. Kama tunayo dhamira ya dhati kuimarisha biashara kati yetu na DRC na Burundi hoja ya kuboresha bandari ya kigoma, kujenga meli mpya za kisasa na reli haviepukiki. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake apewe.
Wanakigoma unawajua? Achana na hao waha walio nje ya kigoma wanajituma na kazi! Hawa wa huko hawawezi kulima hata vibarua wa kulima huko kigoma ni warundi wana kigoma wenyewe ni waswahili na ujuaji! Kaishi kigoma utaniambia hata pale bandarini tafuta mtu wa kigoma anayefanya kazi hata za uajenti hutampata kuna watu wa kuna ndo wanafanya kazi! Ujuaji ni tatizo sana unaweza kumuona Zitto alivyo ndo picha halisi ya kigoma! Hata anapotokea Zitto Mwandiga ukifika ni kichekesho vijumba na mazingira mabovu lakini huyu huyu Zitto ndo aliwaita awamu ya Tano ni washamba na malimbukeni akiwemo Dr Mpango,Hapo unategemea mtu umpelekee wazo la uwekezaji akusikilize? Endeleeni na umasikini wenu!
 
Bila kujali kuchoma au mtia hoja kayokra wapo, je, hoja zake hazina mashiko kweli. Sio kweli. Kama tunayo dhamira ya dhati kuimarisha biashara kati yetu na DRC na Burundi hoja ya kuboresha bandari ya kigoma, kujenga meli mpya za kisasa na reli haviepukiki. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake apewe.
Kwa hiyo sehemu zingine hazina matatizo matatizo yapo Kigoma pekee?
 
Mkuu Abdul Nondo, Ngome ya Vijana ya ACT-Wazalendo haina Afisa Habari? Haipendezi wala kunoga kuona habari ambayo wewe ndiye uliyesema na kufanya inaletwa na wewe mwenyewe. Halafu, uwe unajibu michango ya wadau humu. Acha tabia ya kuandika na kupotea. JF si gazeti, ni sehemu ya mijadala. Kila la heri mdogo wangu!
Nondo Hana hoja yoyote zaidi ya ukabila, udini na ukanda. Mara kuwatetea warundi wanaondesha uhalifu kwenye misitu iliyopo kigoma baada ya kukutana na dhoruba Kali ya vijana wa Sirro. Nondo hufai hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi
 
Back
Top Bottom