GE2025 Ng’ombe 200 wachinjwa kwa ajili ya wananchi wa Arusha kumsindikiza Makonda kuchukua fomu

GE2025 Ng’ombe 200 wachinjwa kwa ajili ya wananchi wa Arusha kumsindikiza Makonda kuchukua fomu

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Wananchi mbalimbali na wanachama wa chama cha mapinduzi wamejitokeza kwa ajili ya kumsindikiza mgombea ubunge kupitia chama hicho kwa ajili ya kwenda kuchukua fomu kwa ajili ya Ubunge.

Hata hivyo sherehe hizo zimepambwa na vyakula ikiwemo nyama na ng'ombe 200 wamechinjwa kwa ajili ya kusherekea.

 
Wananchi mbalimbali na wanachama wa chama cha mapinduzi wamejitokeza kwa ajili ya kumsindikiza mgombea ubunge kupitia chama hicho kwa ajili ya kwenda kuchukua fomu kwa ajili ya Ubunge.

Hata hivyo sherehe hizo zimepambwa na vyakula ikiwemo nyama na ng'ombe 200 wamechinjwa kwa ajili ya kusherekea.

Ng'ombe wanaangamia bila hatia
 
Hizi hela zinatoka wapi ?

Kwa makadirio ya chini kabisa ng'ombe walau anaefaa kuchinja na kuchoma ni kuanzia 1m, inategemea ,,,

1m×200,,,,,

Bado gharama nyinginezo,,,,,,

Bwana yule alisema ni kama meli haina Baharia, inajiendea tu kulingana na hali ya bahari na upepo unavyovuma!
 
Wananchi mbalimbali na wanachama wa chama cha mapinduzi wamejitokeza kwa ajili ya kumsindikiza mgombea ubunge kupitia chama hicho kwa ajili ya kwenda kuchukua fomu kwa ajili ya Ubunge.

Hata hivyo sherehe hizo zimepambwa na vyakula ikiwemo nyama na ng'ombe 200 wamechinjwa kwa ajili ya kusherekea.

Kafara za damu
 
Back
Top Bottom