Ngoma ya escrow kumbe ni standard chartered

ndio maana mimi hili suala silishabikii,wajanja wanagombania maslahi haramu kwa kutumia ujinga wetu watanzania.tunajiuza wenyewe
 
Somo letu kwenye sakata la escrow kama jamii sisi ni watu wa majungu mno, waongo, wenye wivu wa (kike kwa mujibu wa Benjamini Mkapa) na tamaa sana including uchu wa wamadaraka. Maana motive kubwa ni kuzibiana na kuchafuana ili kwenda kufaidika kimslahi na rasilimali za taifa.

Mpaka dakika hii hakuna mtu aliethibitisha kosa linalostahili adhabu ya kisheria iliyopo ndani ya Tanzania sanasana kwa wale walio CCM labda makosa ya kimaadili kutokana na kanuni za chama chao kama katiba yao inavyoelezea. Waliopo serikarilini maswali yanayoibuka jinsi ya keweka ethics na kuzuia conflict of interest. Lakini hakuna sheria au mwongozo bunge unaoweza kumuwajibisha mtu yeyote mpaka dakika hii zaidi ya waropokaji tu.

Mwanzo wengine tulikuwa tunasoma post za watu na evidence zilizopo lakini after JF exclusive ya ripoti ya CAG ni wazi hakuna kesi kwenye swala la malipo ata hiyo capacity charge ndio iliyotumika kuondoa tax washiriki walikuwa Tanesco, IPTL na TRA baada ya kuwekeana madai waka afiki exemption agreement ya Tax; ni vitu vya kawaida kwenye madeni ya serikari. Ambapo common-sense prevails na deni lingekuwa kubwa zaidi kama TRA wangedai IPTL kodi.

Hela yenyewe iliyokuwa kwenye escrow account ni kati ya wabia wa IPTL, kwa kukurupuka unaweza dhania mahakama ilipendelea kwenye shauri lakini ukifuatilia mambo ya deeds za partnerships na contract laws unakuta maswala ya vitiating factors yanachangia kuamua kesi zenye malengo ya kuvunja mikataba au misunderstanding kati ya wabia. Kwa sababu standard charter si mmbia wa mwanzo anaweza akatafutiwa na kutafutiwa solution nyengine.

Ndio maana kulikuwa na kesi mahakamani kuhusu mgogoro wa wabia, tunachojua mercher aliacha hisa zake benki, hakuna anaejua mkataba wa VIP na mercher ulikuwa vipi kimakubaliano?

Facts zilizopo Standard charter ambae alipata mkataba probably through asset stripping company baada ya benki iliyokuwa inamdai mercher kufulisika lakini atujui alikuwa ana negotiate vipi na VIP mwenye 30%, kwenye kudai hela yake. Hapo kuna maswala ya duress ambayo VIP anaweza tumia kutoka kwenye mkataba kwa sababu yeye anakuwa kama principal na standard charter awezi amua vingine.

VIP anaweza fungua shauri la anti-participatory breach kwakuwa mercher akutimiza wajibu wake na jaji anaweza toa remedies according to facts presented in the court kwa sababu standard charter si mmbia hata wakienda huko Brella, tuna sheria ya civil procedures, contract law na business act zote zina cover hivyo vitu on the jurisdiction kwa makampuni yaliyo funguliwa Tanzania.

Kama Standard Charter alikuwa anataka kuwa mmbia VIP anaweza amua nitakulipa deni lako au gharama za mercher kwa sababu sikuelewana na wewe. Mpaka dakika hii hakuna anaejua standard charter alikuwa anataka nini hasa aingie kwenye ubia kwa lazima wa IPTL, alipwe hela or what exactly where there demands.

VIP kutokana na nafasi yake anaweza negotiate na yeyote kuchukua hisa za mercher na huyo jamaa achukue majukumu aliyoyaacha mmbia wa awali including madeni (as in standard Standard Charter au kumalizana nae kwa namna nyengine) ndio maana kesi bado hipo mahakamani. Kwa maana hiyo so far ni watu tu wameamua kuvurugiana baada ya kukosa. This is why we need strong laws za kudhibiti conflict of interest na kuwekana sawa kwenye kupokea zawadi kwa wafanyakazi wa serikari.

Watu wanaweza kuwa kweli walipiga dili lakini hakuna sheria iliyovunjwa na wala hakuna ushahidi wa influence ya those who have received funds form either side of their shareholder, kwanza it doesn't make sense kumuhusisha mtu kama padre na case husika na matukio ya saga lenyewe.

Siasa zimetumika kupotosha uhalisia wa kesi na hili swala lilikuwa linahusu interest za two parties largely PAP and Standard charter kwanini wanasiasa wapotoshe ukweli na kuchukua upande surely mahakama inaweza zuia swala lisijadiliwe kutokna na upotoshaji wa awali not that i care anyway hila tusubiri kesho tuone huu mziki unaendelea vipi na watu wanavyozidi kujipotezea credibility mbele ya jamii ukweli utakuja kuwa wazi tu mbeleni.
 
Mama Tibaijuka atafirimbwa na bunge mpaka aongee kinyumbani....
Anaweza kuamua kutokujibu mpaka aambiwe kosa lake kisheria, hila huko chamani kwao lazima ajibu kutokana na maadili ya kichama lakini hakuna sheria ya mwongozo kuhusu misaada.
 
Dah! kumbe ni kweli kwamba kuna siku kichaa anaweza kuongea jambo la maana!!! leo umekula nini mpaka umekuwa na positive thinking na nchi yetu?

Hunisomi unbiased, leo umenisoma bila kuwa biased.
 

Yalikuwa mazuri wakati misaada ya kwanza ya chakula tumeanza kupewa awamu ya kwanza miaka 3 baada ya Uhuru? wakati alipochukuwa nchi Tanzania ilikuwa nchi ya kwanza katika Afrika kusafirisha mazao ya shambani!

Tukawa masikini wa mwisho duniani katika miaka yake 24 aliyokuwa Rais, hohe hahe, watu vyakula kwa foleni, ukipata kilo moja ya sukari kwa wiki kwa kaya shukuru Mungu. Mazuri yepi? mnadanganywa tu.

Hukuwepo wakati tunapokea msaada wa chakula kutoka kwa Kennedy, tuulize tuliokuwepo.

Kitu ambacho hukielewi ni kuwa Nyerere alikuwa kipenzi chetu wote kwa maneno yake matamu, tukajuwa ahhh hapa Rais tunae, Duh salalaaa, baada ya muda tunaona nchi inazidi kudidimia tu, akatutoka kabisa kwenye mapenzi yetu kwa mengi yasiyosemeka yaliyotendeka wakati wake, wengine tuliihama nchi kwa adha zilizokuwepo.
 
Kama kwelu standard Chart. wako kwenye dil nafunga account yangi kesho. Thibitisheni fasta.
 

Kwa nini tezi dume ipone baada ya mjadala?
 
Kama kwelu standard Chart. wako kwenye dil nafunga account yangi kesho. Thibitisheni fasta.

ukishafunga standard chartered karibu MKOMBOZI BANK!
 
Watoto wa nani?,yani uzae wewe watoto akutunzie jk?,kwani wakati unamkatikia my wife wako alikuwepo?

Ulivyoandika inaonesha wazi kuwa hujui wajibu wako kwako binafsi, familia yako (kama unayo) na taifa kwa ujumla. Kumbuka maisha yake yeye JK na mkewe pamoja na watoto wake yanagharamiwa kwa fedha za walipa kodi nikiwamo mimi mwenyewe.
 

Blah blah blah unajua ada tunayolipa babro kwa ajili ya watoto wetu?
 
Ni Siku nyingine tena sakata linaendelea
Ila mama Tibaijuka kaniacha hoi bin taabani
 
juhudi za kujisafisha ni kubwa sana, ila mwizi ni mwizi tu na mnachofanya sasa ni kujaribu kuoga kwa kutumia maji taka!
 
hee si wewe tu juzi ulikuwa unasema fedha za eskro sio za uma
.........hakuna kitu cha ovyo kwa great thinker kuweka hoja ya kufikiri na ama kudhani; sikulaumu inawezekana una agenda hiden; kama una maanisha hebu weka hiyo post hapa, vinginevyo jisute;
 

Nenda kwenye kumbukumbu zako angalia ni nani alikuwa Waziri wa Energy wakati ITPL inaletwa mjini!! Unless someone is trying to correct his mistakes.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…