Nani anaikumbuka hii ngoma ya daku iliyokuwa maarufu miaka ya tisini na kurudi nyuma iliyokuwa ikifanyika nyakati za usiku!
Mimi sio muislam lakini kwa hakika ngoma hii ilikuwa burudani tosha sana kwangu ktk kipindi kama hiki cha mwezi wa ramadhani.
Hasa pale wanapotokea watoto wa uswazi wakiwa full yaani na kinyago chao pamoja na nyimbo maridhawa zilizo jaa manjonjo huku kinyago akicheza kwa ustadi, huku wakipita nyumba kwa nyumba kutoa burudani kwa malipo atakayojiskia mwenye nyumba,
Ni ngumu kunielewa kama wewe sio wa miaka ile au hujawahi kabisa kuishi uswazi
Siku hizi naona digital imetawala sana watu hawana muda huo wapo bize na tv pamoja na smartphones tu.
Mimi sio muislam lakini kwa hakika ngoma hii ilikuwa burudani tosha sana kwangu ktk kipindi kama hiki cha mwezi wa ramadhani.
Hasa pale wanapotokea watoto wa uswazi wakiwa full yaani na kinyago chao pamoja na nyimbo maridhawa zilizo jaa manjonjo huku kinyago akicheza kwa ustadi, huku wakipita nyumba kwa nyumba kutoa burudani kwa malipo atakayojiskia mwenye nyumba,
Ni ngumu kunielewa kama wewe sio wa miaka ile au hujawahi kabisa kuishi uswazi
Siku hizi naona digital imetawala sana watu hawana muda huo wapo bize na tv pamoja na smartphones tu.