Ngoma Droo

Ngoma Droo

Red Scorpion

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2012
Posts
5,736
Reaction score
4,254
DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib...

BABA: Kwa Hasira Ebu Wacha Kuongea Na Chakula Mdomoni Wewe Mpumbavu Sana Khaa!!!

MAMA: Eti Nini Hebu Endelea Mwanangu Alafu Wakafanya Nini Hawa Nguruwe...

DOGO: Wakanza Kufanya Kama Vile Mlifanya Na Anko nassoro Wakati Baba Alikua Safari Za kikazi...

MAMA: Babako Amesema Uwache Kuongea Na Chakula Mdomoni We Kweli Mpumbavu sana...

😂😂😂😂😂
 
Hakuna droo kwenye hayo mambo! Nayaona macho ya huyo baba yakimtazama mama kwa ukali na midomo ikimchezacheza. Kuna mtu atakula kipigo cha mbwa wa sokoni.Maneno yatakayosemwa kwa ghadhabu kubwa ni:
"Huyo anko ni nani wee mshenzi?"
 
Hakuna droo kwenye hayo mambo! Nayaona macho ya huyo baba yakimtazama mama kwa ukali na midomo ikimchezacheza. Kuna mtu atakula kipigo cha mbwa wa sokoni.Maneno yatakayosemwa kwa ghadhabu kubwa ni:
"Huyo anko ni nani wee mshenzi?"

Haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Wakuu mimi natumia PC ku chati hapa jukwaani, tatizo nilipatalo ni kutopata kitufe cha Like, cjui wenzangu wanaotumia pc pia inakuaje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom