Bi Khadija
Member
- Aug 20, 2018
- 79
- 237
- Thread starter
-
- #21
Hata sio mapenzi ni katika kutafuta tu chakula cha roho iliyo pondeka
1.kutafuta hekima kwa watu humu
2.kutafuta matumaini humu kwa usawaa wa kuhangaika huu
tangu aingie kiduku lilo JF imekua burudani
Wewe ndiye Kiduku mwenyewe.
Kwa nini? Katika uzi wake wa jana alikuwa akikosea kuacha nafasi pale anapoweka nukta. Siyo mara moja au mbili.
Makosa yale yale yanarudiwa na mtu anayedai anamzimia. Is this a coincidence?
Unaweza kusema uongo, ila ukweli haujifichi.
Gudume kwa kujiandikia thread upo vizuri Bro!
kweli mkuu , nami nimeprove ndie mwenyewe huyuId zake zinafanana kutokana na vinukta nukta kwenye uandishi wake
Acha kujimwambafy wewee!!Watasema hii ni Id nyingine ya kiduku lilo. Watu wa JF huwa wanakuwa na wivu wa kijinga. Yaani hawapendi sisi wanawake tu m appriciate mwanaume. Wanaumia sana kama wanawake nao...khaaah... Nlijua tu itawauma.
Mie mwenyewe nimekuwa addicted wa thread za Kiduku Lilo sana tu na huwa nazisoma mpk mwisho na huwa kuna kitu kikubwa sana nakiona ndani yake!! Mie nakuunga mkono Bi Khadija kwa asilimia zote!!Kuna watu nliwahi sema walinivutia sana kuja Jamii Forums. Mmojawapo ni gudume. Huyu uandishi wake,visa na mikasa yake ilinifanya niingie JF kila siku kutaka msoma.
Ameongezeka Boss Kiduku Lilo. Huyu jamaa anajua kuandika,hana ugomvi,hana matusi, ana pesa na si mtu wa wanawake anavyoonekana.
Mimi sijui ukweli wake upo wapi.lakini napenda sana fuatilia nyuzi zake.zinanitia uchungu wa maisha na pia napata burudani. Najenga picha anapokuwa anaandika anakuwa anakunywa juice miguu kaweka juu amejilaza kivivu.
Ni mwanaume anayejiamini na mwenye utulivu. Akitukanwa wala hajibu.anaonesha kuwa na dharau kwa watu wasio mwelewa. Nmejikuta tu nmekuwa mpenzi wake.
Wakati mwingine inachosha kusoma habari za majonzi,shida,mateso ,umaskini na unyonge kila siku. Tunataka mambo ya kuburudisha na kupumzisha akili. Ndo maana nikasema leo ngoja nisome hasa hii trip yake ya Bagamoyo nimeipenda sana.
Ni hayo tu kaka na dada zangu.tusiwe tunaponda siku zooooote.sometime hata tusifie mazuri.
Mkuu hizo ni techniques za kipelelezi, wenyewe wanaita profiling. Sasa kuna aina mbalimbali za profiling kulingana na utaalamu au ubobevu wa mtu.JF kuna ma forensic experts wanaweza kuangalia muandiko wakapata mpaka alama za vidole.
Mkuu kama kweli basi una kipaji cha "attention to detail" ambacho ni adimu sana.
Yani mchizi kaja na ID nyingine kujipa kongole mwenyewe?
Wewe ndiye Kiduku mwenyewe.
Kwa nini? Katika uzi wake wa jana alikuwa akikosea kuacha nafasi pale anapoweka nukta. Siyo mara moja au mbili.
Makosa yale yale yanarudiwa na mtu anayedai anamzimia. Is this a coincidence?
Unaweza kusema uongo, ila ukweli haujifichi.
Tunaojimwambafy kwa kutaja details zetu sasa tutaogopa kujinafasi JF.Mkuu hizo ni techniques za kipelelezi, wenyewe wanaita profiling. Sasa kuna aina mbalimbali za profiling kulingana na utaalamu au ubobevu wa mtu.
Mwingine anaweza akaangalia tukia kisha akatengeneza profile ya mtu aliyelitenda. Wengine wanaangalia mwandiko kama hivyo, na wengine ni wataalamu wa picha na uchoraji.
Hata hivyo, heko kwa msela
Ulipata boyfriend?
Nahitaji Boyfriend toka JF awe na Sifa hizi
My name is khadija ,nina miaka 20 plus. Ni muda mrefu kidogo nmejiunga JF ila nlikuwa napenda zaidi kusoma kuliko kupost au comment chochote. Kuna watu ambao nmejifunza mengi kwao nikawapenda kuwa marafiki na kutaka kuwa na marafiki wenye sifa kama zao. Nahitaji Boyfriend (rafiki wa kiume toka...www.jamiiforums.com
Mie mwenyewe nimekuwa addicted wa thread za Kiduku Lilo sana tu na huwa nazisoma mpk mwisho na huwa kuna kitu kikubwa sana nakiona ndani yake!! Mie nakuunga mkono Bi Khadija kwa asilimia zote!!
Na nyie baadhi ya wana JF mmezidi sana kuangalia vitu negative sana tu! Kwan huu uzi una kosa gani mpk mmtoe povu namna hyo!! Mbona kuna member wengi tu huwa wanaanzishiwa thread za kuwasifia na huwa hakuna tatzo?
Hata kama mtu ana Id kadhaa kama hazitumii kuwaumiza wengine Kwann tujali? Big up sana
Bi Khadija kwa kusema ya moyoni ila tambua kwamba humu kuna watu wanapenda kupinga kila kitu mpk waanzisha mada wawe watu wenye "Majina" yao.
Povu ruksa.
Bawasili ulipona?Bado... We umepata?