Ngassa ni wetu - Simba


Nadhani ndicho anacho ongelea Hans Poppe
 
Mkuu cha kujiuliza hapa ni je taratibu wakati wa kumsainisha Ngassa zilifuata?

Mwaka jana tuliona Simba wakiongea na Mbwa na Mchunga mbwa(APR - Rwanda) wakasahau kuongea na mwenye Mbwa (FC Lupopo) matokeo yake tukayaona. Cha msingi hapa tutambue kuwa Ngassa alikwenda Simba kwa mkopo, je Simba SC waliwashirikisha viongozi wa Azam?
 
hii ndo bongo maana mchezaji yeyote atakaye sajiliwanatimu kubwa km yanga na simba inakuwa migogoro ni kwann?kwani hawaelewi ?mm naona kunaupugufu mkubwa wa sheria
 
Hapa umetumia akili nyingi mno kuelezea,hongera sana!
 

hayo mambo ya ngasa utasikia tu kina rage wameshindwa..
 
mkuu, kumbuka hao wote uliowataja ni wazuri ila watz tumeharibikiwa kiasi kwamba uzuri wa mchezaji ni pale anapoifunga simba ua yanga tu. pia performance zinakuwa determined na siku ya mechi ya timu hizi, ndio maana wachezaji wenye mindset tofauti tunaowadharau hapa wakienda sehemu nyingine wanafanya vizuri. Fuatilia juhudi alizozifanya Kajumulo ambaye wengi tulisema ni muhuni tu

 

azam walimwondoa hakutaka toka, mwacheni ngasa afanye anachopenda
 
Nilijua tu lazima Simba watayasema haya ili kupunguza makali ya kichapo
 
Kama mtu hawataki mnamng'ang'ania wa nini?
Hata mimi nawashangaa hawa viongozi wa timu yangu, Ngasa alishasema yeye anaipenda Yanga na anataka acheze huko si wamwache, kama walimpa hela bila ridhaa yake na alikuwa anazitaka kwa nini asichukue na alijua taratibu za ufadhili hazikufuatwa, wamwache homeboy akacheze tu kwa watani nao watafute winga mwingine, afterall mbona mpaka sasa tuna mawinga zaidi ya watatu, Chanongo, Singano, yule dogo aliyetoka Coastal, Frank Sekule, Kigi Makasi; bado tunang'ang'ania tu mchezaji ambaye hataki kuwa na sisi, hawa viongozi wana matatizo sana ndo maana vilabu haviendelei, ni sawa kulazimisha kuishi na mwanamke ambaye hakutaki eti kwa sababu tu umemtolea mahari. I call it pathetic.
 
Alienda kwa mkopo afu akapewa mkataba duu,. Hii inatokea bongo tu

Contract (Mkataba) = Agreement enforceable by Law. Mkataba lazima uwe na 'Offer' kwa upande mmoja na 'Acceptance' kwa upande wa pili. Hakuna 'Contract' endapo matakwa haya hayakutimizwa. Azam ilitoa 'offer' kwa Ngassa aende Simba kwa mkopo, Ngassa alikubali (Accepted), sijui kama Simba walitoa 'additional offer' ya kuichezea mwaka mmoja na 'offer' ilikuwa 'fully accepted' na Ngassa! Vinginevyo hiyo 'Contract' ni 'Void'.
 

hayo mambo ya ngasa utasikia tu kina rage wameshindwa..
 
Mchezaji yupo lwa mkopo, sasa utamsainishaje mkataba mpya wa kumnunua moja kwa kmoja kabla ya msimu wa kusajili kuanza? I doubt kama anaelewa anachozungumza Hans?

Kisheria sasa ndo Simba alitakiwa kumnunua baada ya muda wa mkopo kwisha
 
Nadhani ndicho anacho ongelea Hans Poppe

Wewe unachekesha hasa. Sasa anachoongolea Hans Pope hapo ni kipi kinachofanana na scenario ya Andy Carrol? Mkopo wa Andy Carrol unamhusisha Andy Carrol, West Ham na Liverpool.

Hans Pope yeye anasema Ngasa alikubaliana na Simba kwamba utakapoisha mkopo ataichezea Simba Koko msimu mmoja, huo mkataba unamhusisha Ngasa, Simba Koko na nani? Zingatia kuwa by then Ngasa alikuwa mali ya Azam
 
sio mpenzi wa simba lakini katika watu walio makini pale Hans Pope ni mmojawapo na hana uswahili mwingi kama tulivyo wengi wetu, anaweza akawa na point!

Umakini upi wa kufoji sahihi ya mchezaji wa kutamka umemuongezea mkataba mchezaji aliye kwa mkopo hivi huyo HANS POPE ata neno kuongeza kwake msamiati.
 
ngasa hana mapenzi na simba.
Hawa viongozi kwanini bado wanamktaka ngasa.
 

Highly talented scholar!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…