Ngassa Asaini Simba

SASA MUWE MAKINI, YANGA MWAIFAHAMU, TUTAwashika pahala nyeti muanze oh ngasa uyu yanga

YANGA inafahamika ndio, ilikuwa bingwa wa kagame na ikapigwa 5-0 na simba, tano bila majibu.
 

Pamoja na kufunga siku hio bado hajawa productive sana...jibu swali unadhani Poulsen na Stewart walikuwa wanamchukia?Huyo dogo ana kazi kubwa sana ya kurudisha kiwango...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…