Ududu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 1,020
- 556
Kuna uwezekano mkubwa wa Ngasa kuchukua tuzo hiyo endapo wachezaji Bel Elhed na Ndombe hawatafunga katika fainali ya mwisho itakayozikutanisha timu zao za El setif na Vital club.Tumuombee mtanzania mwenzetu..
Inshalah kama CAF hawataleta majungu Ngasa atapewa kiatu chake Leo.
Inshalah kama CAF hawataleta majungu Ngasa atapewa kiatu chake Leo.