Ngasa kutwaa kiatu cha dhahabu Afrika

Ngasa kutwaa kiatu cha dhahabu Afrika

Ududu

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
1,020
Reaction score
556
Kuna uwezekano mkubwa wa Ngasa kuchukua tuzo hiyo endapo wachezaji Bel Elhed na Ndombe hawatafunga katika fainali ya mwisho itakayozikutanisha timu zao za El setif na Vital club.Tumuombee mtanzania mwenzetu..

Inshalah kama CAF hawataleta majungu Ngasa atapewa kiatu chake Leo.
 
Mungu hatupendi watanganyika linapofika suala la soka.tukiomba tu hatotwaa hiyo tuzo ,ila tukiuchuna anaweza kubeba.

Plz tusiombe ili msusi na pornstar wetu atwae golden shoe.
 
Kiatu cha dhababu cha kupiga mikasi labda
 
Kama wewe mwanaume kamili haupi mikasi,basi utakuwa unapigwa mashine.Kumbuka ngasa ni mwanadam na mpira ni kazi yake
 
Back
Top Bottom