T Tony Laurent JF-Expert Member Joined Jan 5, 2011 Posts 6,383 Reaction score 8,272 Sep 8, 2025 #41 technically said: View attachment 3467435 Click to expand... Hii habari ni ya lini? Na amepandishwa kwa cheo gani? Taarifa hii haijakamilika.
technically said: View attachment 3467435 Click to expand... Hii habari ni ya lini? Na amepandishwa kwa cheo gani? Taarifa hii haijakamilika.
Alexander Lukashenko JF-Expert Member Joined Sep 9, 2017 Posts 4,280 Reaction score 10,052 Sep 8, 2025 #42 Kwani akishapanda Cheo si inabidi aachie hiyo nafasi ya Uambata au mie ndio sijui Vyema?
R r2ga JF-Expert Member Joined Apr 5, 2012 Posts 2,649 Reaction score 2,733 Sep 8, 2025 #43 Mambo ni moto.
FabNXTzqEtcgazfbjjfo JF-Expert Member Joined Jan 17, 2019 Posts 1,575 Reaction score 2,090 Sep 8, 2025 #44 chararaa said: Unaongelea sheria na tratibu tanzania, Tanzania haina sheria na taratibu inajiendea tu kutokana na matakwa ya mkuu wa nchi Click to expand... Mi ninavyojua Vyeo huwa vinapanda Kulingana na Taratibu fulani au Kukaa Kwenye Cheo cha Chini kwa Muda Fulani.. Kila Mtumishi sekta Yeyote akikaa muda fulani huwa anapandishwa Cheo, sema Huyo ni Maarufu tu na Ni mpambe ila Wengine Pia Wamepanda
chararaa said: Unaongelea sheria na tratibu tanzania, Tanzania haina sheria na taratibu inajiendea tu kutokana na matakwa ya mkuu wa nchi Click to expand... Mi ninavyojua Vyeo huwa vinapanda Kulingana na Taratibu fulani au Kukaa Kwenye Cheo cha Chini kwa Muda Fulani.. Kila Mtumishi sekta Yeyote akikaa muda fulani huwa anapandishwa Cheo, sema Huyo ni Maarufu tu na Ni mpambe ila Wengine Pia Wamepanda
Sisyphus JF-Expert Member Joined Oct 8, 2015 Posts 5,267 Reaction score 7,374 Sep 8, 2025 #45 Damaso said: Mwanzoni alikuwa ni Kanali Nyamburi Mashauri na sasa ni Brigedia Jenerali Nyamburi Mashauri Click to expand... Alishakuwa brigedia jenerali muda sana , kama hii habari ni mpya anaenda kuwa meja jenerali (2stars general)
Damaso said: Mwanzoni alikuwa ni Kanali Nyamburi Mashauri na sasa ni Brigedia Jenerali Nyamburi Mashauri Click to expand... Alishakuwa brigedia jenerali muda sana , kama hii habari ni mpya anaenda kuwa meja jenerali (2stars general)