Unakumbuka enzi za JPM na Marehemu Mbuge ambaye alikuwa anamwandaa awe CDF?Sio maadui tu, mfumo wenyewe unakataaa.. Mfumo utamuogopa
Umeshuhudia battle nyingi sana Toka Enzi za kina abdullyskys na nyererere.Unakumbuka enzi za JPM na Marehemu Mbuge ambaye alikuwa anamwandaa awe CDF?
Iwapo litatokea lolote juu ya Uongozi wa Mama Samia, naye anaweza kupitia aliyopitia Marehemu Mbuge
Bana, inchi ikiwa inakwenda kwa matakwa ya mtu binafsi kuna mambo mengi sana huweza tokea mazuri na mabaya piaUnakumbuka enzi za JPM na Marehemu Mbuge ambaye alikuwa anamwandaa awe CDF?
Iwapo litatokea lolote juu ya Uongozi wa Mama Samia, naye anaweza kupitia aliyopitia Marehemu Mbuge
CDF akiwa Binti, ni hatati TUFE anaweza zama mpaka Barracks.hadi ya bonge la baba kuzama ikulu
Huko juu ni itakavyo mpendeza.Vyeo huwa vinapanda kwa matakwa ya Mtu au Sheria na Taratibu.. ?
Ni kweli Mkuu, na haya yote ni mapungufu ya Katiba yetu kumpa majukumu yote RaisBana, inchi ikiwa inakwenda kwa matakwa ya mtu binafsi kuna mambo mengi sana huweza tokea mazuri na mabaya pia
Hahaha .........Kwa kweli ni bahati kusema kweli ππUmeshuhudia battle nyingi sana Toka Enzi za kina abdullyskys na nyererere.
Mimi nani ni tie neno
ila wewe hawezi kukuteua kuwa CDF π π .. ila DGIS inawezekanaNi kweli Mkuu, na haya yote ni mapungufu ya Katiba yetu kumpa majukumu yote Rais
Kwahiyo Kwa madaraka yake, anaweza kumteua yeyote kuwa CDF
Tangu lini sisi wakulima tukapata fursa za kuteuliwa kwenye utumishi wa Umma πila wewe hawezi kukuteua kuwa CDF π π .. ila DGIS inawezekana
Majinga yanasema October mkatikiTangu lini sisi wakulima tukapata fursa za kuteuliwa kwenye utumishi wa Umma π
Wacha tubaki tupambane na Kilimo chetu cha Tumbaku tu π€
Mimi nitabaki na kura yangu nyumbani siku hiyoMajinga yanasema October mkatiki
Ndio hiyo hiyo. Jamaa anafanya "flashback" tu baada ya kukosa cha kuandika.Kampandisha kuwa nani ?..
Maana last alimpandisha na kuwa One Star General
Unaongelea sheria na tratibu tanzania, Tanzania haina sheria na taratibu inajiendea tu kutokana na matakwa ya mkuu wa nchiVyeo huwa vinapanda kwa matakwa ya Mtu au Sheria na Taratibu.. ?
Inahusiana nini mambo ya Kagame na uzi? Kwani wewe ni Mtutsi?Yaanii Kagame anatucheka mnoooo past 20yrs anatujua vzr Sanaa tangu huyo check bob JK....akishamuonya mara kadhaaaa
Wanapeana vyeo kwa u shost badala ya weledi....tumepoteanaaInahusiana nini mambo ya Kagame na uzi? Kwani wewe ni Mtutsi?