Mmekurupuka kabla hamjaipitia hii nyuzi ipaswavyo, katazame post namba 58, 62 na 66.
Hivi hizo shule huwa mnaenda kusomea ujinga?
Time: 19:43:28 UTC
Direction: 28' South (Venus) , Mars 28.4 Degrees(East)
Teh tehUmenisumbua nimetoka nje na taulo sioni kitu FaizaFoxy.
Mmekurupuka kabla hamjaipitia hii nyuzi ipaswavyo, katazame post namba 58, 62 na 66.
Hivi hizo shule huwa mnaenda kusomea ujinga?
@FaizaFoxy huwa uwezo wa kuhoji shule yangu!!!!
Na sio lazima nipitie utumbo wote humu ili kuona picha....
Ungeweza kusema tu umeweka.....
Huo ujeuri uko wapi?
Unaweza kuwa umeenda shule lakini hujaelimika. Ungekuwa umeelimika japo ungeona kabla ya kufunguwa nyuzi kuna alama ya "attachment" na hauna haja ya kuziona picha kwa kupitia "utumbo" wote, ukibofya tu hiyo alama unaona kama kuna picha au hakuna.
Siku nyingine kwanza tazama kama kuna alama ya "attachment" au nyingine yoyote kabla ya kufunguwa nyuzi na si kukurupuka bila mpango.
Hivi hizo shule huwa mnaenda kusomea ujinga?
Mmekurupuka kabla hamjaipitia hii nyuzi ipaswavyo, katazame post namba 58, 62 na 66.
Hivi hizo shule huwa mnaenda kusomea ujinga?
Mbona hapo bado hujaona marue-rue,
Bado mapema sana.
Unaweza kuwa umeenda shule lakini hujaelimika. Ungekuwa umeelimika japo ungeona kabla ya kufunguwa nyuzi kuna alama ya "attachment" na hauna haja ya kuziona picha kwa kupitia "utumbo" wote, ukibofya tu hiyo alama unaona kama kuna picha au hakuna.
Siku nyingine kwanza tazama kama kuna alama ya "attachment" au nyingine yoyote kabla ya kufunguwa nyuzi na si kukurupuka bila mpango.
Hivi hizo shule huwa mnaenda kusomea ujinga?
Si shule pekee kwenye elimu, si unaona juu hapo nimekupa darsa, sasa utaelewa namna ya kutazama kama kuna picha au hakuna bila kusoma "utumbo" wote.
Ni chombo cha viumbe kutoka sayari ya saturn.Natumaini watu wa Uhamiaji wanaendelea na uchunguzi.Tazameni juu upande wa Kusini Magharibi (South West) kuna kitu si cha kawaida kinatoa mwangaza. Wenye ma camera ya ku zoom, haya tujuzeni.