s.fm
JF-Expert Member
- Jul 8, 2009
- 663
- 117
i hope mko poa jamani!
Ukijaribu kuangalia zamani kidogo na sasa hivi hapa katika Mahusiano, mapenzi,urafiki kumebadilika na kunazidi kubadilika.
kwakweli mambo yanazidi kuwa magumu, ukiingia huku mambo mengi sasa ni tofauti unaweza kudhani sio sehemu ya mahusiano,mapenzi, na urafiki.
jamani tupendane tuelimishane, lakini pia tuwe tunasameheana basi kama mtu umekosea kitu fulani.
zamani ilikua ukiingia huku ni full of love and relationshion, lakini sasa hivi imekua ni tofauti kabisa.
Ni vizuri tukijua kwamba tupo kwenye sehemu ambayo kiini chake kikubwa ni urafiki..!
love u all people
Ukijaribu kuangalia zamani kidogo na sasa hivi hapa katika Mahusiano, mapenzi,urafiki kumebadilika na kunazidi kubadilika.
kwakweli mambo yanazidi kuwa magumu, ukiingia huku mambo mengi sasa ni tofauti unaweza kudhani sio sehemu ya mahusiano,mapenzi, na urafiki.
jamani tupendane tuelimishane, lakini pia tuwe tunasameheana basi kama mtu umekosea kitu fulani.
zamani ilikua ukiingia huku ni full of love and relationshion, lakini sasa hivi imekua ni tofauti kabisa.
Ni vizuri tukijua kwamba tupo kwenye sehemu ambayo kiini chake kikubwa ni urafiki..!
love u all people