Richard irakunda
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 3,660
- 4,383
ni makabati yale ya hotelinmsamiati mpya kwangu.
nigeiye bas namba ya whatsapp
Sent using Jamii Forums mobile app
ni makabati yale ya hotelinmsamiati mpya kwangu.
ndio ni kabatiBlacket.Haya.
Richie, wewe ni mnyarwanda?
Kama umeshindwa tumia google translatorKwa kiswahili kwamba jamaa amefanyaje??
lugha imenipiga chenga kidogoOK. I first thought you were speaking about brackets. Before they even finish doing it,the hostages would already be blacked!
Now tell me.Are you a rwandese?
nikikukumbusha utafanya kweli?Another time. Nikisahau unikumbushe. Jioni njema
Anafanana na LEE EVANS.Thursday January 17, 2019
New details have emerged about the member of the British Special Forces who engaged the five Al Shabaab insurgents that had raided Dusit D2 Hotel and Office Complex on Tuesday afternoon.
The SAS soldier was in Kenya to train Kenya Special Forces but was called in to help when the Al Shabaab militants struck the hotel complex.
“He was training Kenyan forces when the shout went up, so he went in,” said one of his friends.
After getting kitted out, the SAS hero, clutching a Colt Canada C8 assault rifle with a suppressor silencer, single handedly entered the hotel complex and rescued over 34 Kenyans.
His battle gear included a balaclava, body armour, a para claw, a Glock pistol and a stainless steel dagger.
According to sources at the UK Embassy, the man is a long serving member of the British Special Forces and has served in Iraq and Afghanistan as a top counter-terror warfare expert.
“This guy got there quick. I think he was one of the first there. He had a mask on.”
“We could see him talking to the police and army and they listened to him. They were looking at pieces of paper, maybe plans of the building,”
One survivor identified as Bruce Kariuki told a local daily.
(copy and paste from daily news Kenya)
View attachment 997644View attachment 997645
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mkuu bila huyo jamaa wakenya wangekiona cha motoAmewasaidia sana wakenya (wapenda sifa), la sivyo wangekiona cha mtema kuni.
Support si lazima ya vifaa, hata hizi propaganda na negativity dhidi ya Wakenya ni moral support kwa magaidi hivyo wako sahihi in a way kusema wa'Tz wanawapa support Al-Shabaab.bila kusahau dollar na idadi ya maafa ingekuwa kubwa zaidi
naskia zimeanza propaganda kuwa tz inawapa support hao wavaa kobazi ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi kule Mtwara na Tanga tuliwapukutisha bila msaada wa UK ama US!Terrorists like you do not have space in life.Die a natural death you imbecile
Itakuwa wana vyanzo vyao, hawawezi kubuni habari na kuzitangaza hivyo dawa ni kuwauliza chanzo chao labda kama watadai ni siri basi wafunguliwe kesi nadhani hapo watalazimika kukitaja chanzo cha hizo habari. Kwa watu mmoja mmoja naamini wapo Wabongo ambao ni Al-Shabaab sympathizers na hata supporters kwani kumeshawahi kuwepo hata Al-Shabaab member ambaye ni m'Tz.pia hyo kauli imetoka huku tukio likiwa bado linaendelea sasa kwanini moja kwa moja waihusishe tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
mtaani umeona watu wanavyolichukulia ilo tukio?Support si lazima ya vifaa, hata hizi propaganda na negativity dhidi ya Wakenya ni moral support kwa magaidi hivyo wako sahihi in a way kusema wa'Tz wanawapa support Al-Shabaab.
kati ya hao magaidi walioshambulia juzi wawili ni wakenya piaItakuwa wana vyanzo vyao, hawawezi kubuni habari na kuzitangaza hivyo dawa ni kuwauliza chanzo chao labda kama watadai ni siri basi wafunguliwe kesi nadhani hapo watalazimika kukitaja chanzo cha hizo habari. Kwa watu mmoja mmoja naamini wapo Wabongo ambao ni Al-Shabaab sympathizers na hata supporters kwani kumeshawahi kuwepo hata Al-Shabaab member ambaye ni m'Tz.
Wapo wengi usikatae,hata humu kwenye mitandao baadhi wanajidhihirisha kwa comments zao.mtaani umeona watu wanavyolichukulia ilo tukio?
kwanini kipindi bado tukio linaendelea lkn mda huohuo tanzania ikaanza kupewa lawama?
hamna mtz alieshangilia ilo tukio ila walitoa ushauri tu kuwa kenya waondoke somalia
Sent using Jamii Forums mobile app
point ni kuwa mwanzo tu watukio watu wakaanza kuisingizia tanzania nchi ambayo haitengenezi ata risasiWapo wengi usikatae,hata humu kwenye mitandao baadhi wanajidhihirisha kwa comments zao.
Tuhuma zilianzia kwenye vyombo vya habari vya South Africa na wala si Kenya, halafu kuwa supporter au sympathizer hauhitaji kuwa na kiwanda cha silaha.point ni kuwa mwanzo tu watukio watu wakaanza kuisingizia tanzania nchi ambayo haitengenezi ata risasi
Sent using Jamii Forums mobile app
ukweli kuwa tz anawapa support al-shabab?Tuhuma zilianzia kwenye vyombo vya habari vya South Africa na wala si Kenya, halafu kuwa supporter au sympathizer hauhitaji kuwa na kiwanda cha silaha.
Huu ni ukweli na haukwepeki.
Don't quote me wrongly, si eti Tz inawapa support Al-Shabaab bali kunabaadhi ya wa'Tz wako affiliated na kikundi hicho na pia wapo wanaokipa moral support.
hiyo ndio point sasaDon't quote me wrongly, si eti Tz inawapa support Al-Shabaab bali kunabaadhi ya wa'Tz wako affiliated na kikundi hicho na pia wapo wanaokipa moral support.
Baadhi ya wa'Tz ndicho nisemacho na ni wachache for your information.
Wakenya wenye asili ya Kisomali na baadhi ya Wamombasa wanaoamini Al-Shabaab iko katika harakati za kidini.hiyo ndio point sasa
lkn mpaka al-shabab kufanya ilo tukio support kubwa wameipata kwa wakenya wenyewe kuanzia gari walilotumia na mahitaji mengineyo
Sent using Jamii Forums mobile app