NEW VARIANT COVID19 (B.1.1.529): Kama taifa ni kama tulibet kwenye ununuzi wa chanjo. Nini kifanyike next?

I am Groot

JF-Expert Member
Jul 20, 2018
3,730
10,033
Kutokana na taarifa za kuibuka kwa aina mpya mataifa yote yako katika sintofahamu ikiwemo taifa letu la Tanzania. Lakini ukiachana na hayo, kuna raia wengi ambao tayari walikwisha amua na kupata chanjo zote muhimu kwa ajili ya kujikinga. Lakini afikiriavyo Mungu si sawa na afikiriavyo mwanadamu. Sasa unaambiwa kuna wasiwasi chanjo hizo zikawa hazina maana tena kwa aina hii mpya. Kama tunakumbuka, tuliachiwa wosia "Daima kwa kila kitu tukumbuke kumtanguliza mungu." Na wakati huu tumefeli sana hilo tukubali.

Aina mpya ya Virusi vya Corona, B.1.1.529, ambavyo ni tofauti na kina zaidi ya mabadiliko (mutation) 50 kwa ujumla na mabadiliko mengine 30 katika muundo wa protini ambayo ndio shabaha kuu ya chanjo.

Baadhi ya mataifa duniani yamekwishaanza kuchukua tahadhari dhidi ya Kirusi hiki kipya.

Mabadiliko (mutation), inatajwa kuwa mara mbili ya kirusi cha Delta pamoja na uwezekano wa chanjo kushindwa kuhimili kirusi hiki, huku uwezekano wa kutokea kwa maambukizi ni mkubwa kuliko aina zingine za virusi vya corona.
 
Kutokana na taarifa za kuibuka kwa aina mpya mataifa yote yako katika sintofahamu ikiwemo taifa letu la Tanzania. Lakini ukiachana na hayo, kuna raia wengi ambao tayari walikwisha amua na kupata chanjo zote muhimu kwa ajili ya kujikinga. Lakini afikiriavyo Mungu si sawa na afikiriavyo mwanadamu. Sasa unaambiwa kuna wasiwasi chanjo hizo zikawa hazina maana tena kwa aina hii mpya. Kama tunakumbuka, tuliachiwa wosia "Daima kwa kila kitu tukumbuke kumtanguliza mungu." Na wakati huu tumefeli sana hilo tukubali.

Aina mpya ya Virusi vya Corona, B.1.1.529, ambavyo ni tofauti na kina zaidi ya mabadiliko (mutation) 50 kwa ujumla na mabadiliko mengine 30 katika muundo wa protini ambayo ndio shabaha kuu ya chanjo.

Baadhi ya mataifa duniani yamekwishaanza kuchukua tahadhari dhidi ya Kirusi hiki kipya.

Mabadiliko (mutation), inatajwa kuwa mara mbili ya kirusi cha Delta pamoja na uwezekano wa chanjo kushindwa kuhimili kirusi hiki, huku uwezekano wa kutokea kwa maambukizi ni mkubwa kuliko aina zingine za virusi vya corona.
Mpuuzi brazaj unaona!
 
Ulivyomhusisha mungu ndo umenikeraaaa, jamani mungu anabariki jitihada zenu wanadamu kama mnakaa tu bila kufanya chochote kama vile tafiti za kupata chanjo na yeye anakuwa amekaa tu anawaangalia.
 
Hii ni miradi ya watu
Sikuwa namkubali Magufuli,ila approach aliyodeal nayo kwenye corona ilikua sahihi kabisa.
Haya mambo ya kuwekeana hofu ni zaidi ya corona yenyewe.
Mungu atulinde tu.
 
Kutokana na taarifa za kuibuka kwa aina mpya mataifa yote yako katika sintofahamu ikiwemo taifa letu la Tanzania. Lakini ukiachana na hayo, kuna raia wengi ambao tayari walikwisha amua na kupata chanjo zote muhimu kwa ajili ya kujikinga. Lakini afikiriavyo Mungu si sawa na afikiriavyo mwanadamu. Sasa unaambiwa kuna wasiwasi chanjo hizo zikawa hazina maana tena kwa aina hii mpya. Kama tunakumbuka, tuliachiwa wosia "Daima kwa kila kitu tukumbuke kumtanguliza mungu." Na wakati huu tumefeli sana hilo tukubali.

Aina mpya ya Virusi vya Corona, B.1.1.529, ambavyo ni tofauti na kina zaidi ya mabadiliko (mutation) 50 kwa ujumla na mabadiliko mengine 30 katika muundo wa protini ambayo ndio shabaha kuu ya chanjo.

Baadhi ya mataifa duniani yamekwishaanza kuchukua tahadhari dhidi ya Kirusi hiki kipya.

Mabadiliko (mutation), inatajwa kuwa mara mbili ya kirusi cha Delta pamoja na uwezekano wa chanjo kushindwa kuhimili kirusi hiki, huku uwezekano wa kutokea kwa maambukizi ni mkubwa kuliko aina zingine za virusi vya corona.
Chanjo inazuia virusi kushamiri na inapunguza uwezo wa virusi kutengeneza variant mpya.

Chanjo ni kama maji ya zimamoto yanayosaidia kuuzima moto na kufanya usisambae zaidi.

Hivyo, watu wote wangechanja mapema, nafasi za variant mpya kutokea zingekuwa chache zaidi.

Hizi variant mpya zinashamiri kwa kiasi kikubwa kwa sababu watu hawataki/ hawapati kuchanja.

Kwa msingi huu, uamuzi mbaya, kama nchi, ni wa kutochanja, si wa kuchanja.
 
Back
Top Bottom