NEW TCU:Kwa waliohitimu form 6/diploma mwaka 2012,maombi yanaanza kupokelewa tar.7 may 2012.

Msafiri Kasian

JF-Expert Member
Sep 9, 2011
2,133
659
Kwa taarifa nilizozipata kutoka kwenye website ya Tanzania Commission for Universities (TCU) zinasema;"kwa wale waliomaliza kidato cha sita, Diploma za Elimu Ufundi na ualimu mwaka 2012 wataanza kutuma maombi yao ya udahili kuanzia tarehe 7 Mei 2012 mpaka tarehe 30 Juni 2012. Waombaji wote wanapaswa kutuma maombi yao katika kipindi hiki kwa kuwa hakutakuwa na muda wa nyongeza baada ya tarehe ya mwisho." Vilevile: "Waombaji wanajulishwa kwamba pamoja na baadhi ya kadi kuwa zimeandikwa Tsh 50,000 malipo ya kadi yataendelea kuwa Tsh. 30,000 tu hata kwa kadi hizo", pia "Waombaji wote wanashauriwa wazitunze kadi zao vizuri baada ya kuzitumia kwa uthibitisho endapo zitahitajika. Waombaji ambao si watanzania watatakiwa kulipa $60 (dola za kimarekani sitini tu) katika matawi ya Benki ya NBC na watapewa namba ya kutumia mfumo wa Udahili wa Pamoja (CAS) kwa ajili ya udahili." katika taarifa iliyowekwa kwa lugha ya kiingereza katika website hiyo,inasomeka kama ifuatavyo;"NB: Students with less than two principal passes (two “Es”) at ‘A’ level and less than 3 credits (“C” grade) at ‘O’ level are advised not to attempt to apply or purchase scratch cards as they do not have the minimum requirements for admission to higher education institution degree programme. The system can only process applicants with 2 principals and above and not otherwise as the minimum requirements for admission. It is therefore advised that you read the admission requirements carefully as presented in the admission guidebook to avoid unnecessary inconveniences.Maana yake ni kwamba,kama hauna angalau,"C" tatu O-level na "E" mbili A-level,sytem yao haitakutambua.
SOURCE:www.tcu.go.tz(website ya TCU).
 
Wote tunaoapply jamani,tuzingatie hii taarifa. Mwaka jana watu wengi sana walikosa vyuo kwa, aidha kutokuwa na "C" tatu O-level au zaidi na wengine hawakuwa na Principals mbili( yaani angalau,"E" mbili) au zaidi.Baada ya matokeo kutoka wakaishia kulalamika na elfu 60 walizolipa,ikawa ni sadaka kwa TCU na HESLB.
 
Nilisahau pia kuweka hii,ni mpya pia kwenye web. ya TCU na ni kwa wale wanaohitaji kuomba "Education in special needs" ,zinasema "Admission of Teachers with Training in Special Education through in- service Scheme for 2012/2013 at Sebastian Kolowa University College in Lushoto" kwa taarifa zaidi,tembelea TCU Website
 
Na E mbili upate chuo gani???? Hapa TCU wanataka kufanya biashara!!!!!!!

Hii ni 'minimum entry ' iliyowekwa na bodi ya kuratibu haya maombi(TCU). Utakuta kila chuo kina "Minimum Institutional admission points" zake. Kumbuka,kuna vyuo vinachukua hadi point 2 kaka. Na vimesajiliwa,na vinatambuliwa na bodi!
 
Hii ni 'minimum entry ' iliyowekwa na bodi ya kuratibu haya maombi(TCU). Utakuta kila chuo kina "Minimum Institutional admission points" zake. Kumbuka,kuna vyuo vinachukua hadi point 2 kaka. Na vimesajiliwa,na vinatambuliwa na bodi!

Haaaaa, lakini lengo ni biashara, coz form six wote wataombaaaa!!!!
Kama 100,000x30,000=3,000,000,000/=
amka kaka!!!!
 
Pasco_jr_ngumi,ndo mimi nasisitiza kwamba,kama mtu anajua hana hizi sifa,asiombe vyuo kupitia mfumo wa udahili wa pamoja(CAS). Ni bora sijui uende chuoni moja kwa moja,au utafute njia mbadala. Hawa TCU,mwaka jana ndo walidaka wengi! Lakini mwaka huu atakaye dakwa,atakuwa hajatumia akili. Kwa7bu jamaa wameshatoa taarifa mapema!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom