mirindimo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 821
- 1,343
Kuna siku niliona mtu kapost kuhusiana na e-bay na kuna watu walikua wanahofu nauoga balaaa sasa kipindi hicho mimi nilikua nimeagiza smart tv kwa $ 700 na nilifanya hivyo baada ya kufanya utafiti maduka ya bongo nikaambiwa ni 2,500,000 mpaka 4,000,000 nikasema isiwe tabu niakaenda zangu crdb nikafungua account nikatia 1,200,000 nikaingia online nikachagua nikalipia , basi nikapewa tracking code mzigo after 4 days uko bongo,ushahidi huu hapa;
Cha kwanza nikatest kama naweza kufungua jamiiforums , bila hiana,sasa next ni smartphone, smarthouse and smartwife.......! cheerz
So mnaotaka kufanya shopping huko msiogope hakuna ubabaishaji kule sio wabongo wale:A S 39:
Cha kwanza nikatest kama naweza kufungua jamiiforums , bila hiana,sasa next ni smartphone, smarthouse and smartwife.......! cheerz
So mnaotaka kufanya shopping huko msiogope hakuna ubabaishaji kule sio wabongo wale:A S 39: