Kcb kwa bank teller ni 750, 000 gross na crdb ni around laki 8 hivi gross salary kwa hiyo net itakua around lak 6! Nbc wanaanza na lak 7 na ushee!
Hiyo unayoijua mkuu ! Nipo ya dar bt cdhani hata kwenye branch uliyopo kuna utofauti sana!
Vipi kuhusu M.pesa Bank.?Kcb kwa bank teller ni 750, 000 gross na crdb ni around laki 8 hivi gross salary kwa hiyo net itakua around lak 6! Nbc wanaanza na lak 7 na ushee!