benki gani? una qualification gani?
kwa mtu mwenye bachelor degree mdau.
kwa mtu mwenye bachelor degree mdau.
ok,mshahara wa teller mkombozi bank kwa graduate n kiasi gani? wadau,Achana n mambo ya Bachelor degree, wewe sema post gan hapo bank, experience yako kwenye hiyo kazi na bank gani. Maana kila bank ina salary scale yake
ok,mshahara wa teller mkombozi bank kwa graduate n kiasi gani? wadau,
Soma hyo comment ya juu mkuu
Nbc jee?
it about 685000= gross salay kwa kuanzia once umepata uzoefu it goes up 1200,000=per month.