Ngoja waamke...Karibu sana jukwaaniHabari zenu my first time on jamii forum please support meView attachment 1968796
Ok tumekuelewa ila ningependa kabla wajuba hawaamka utoe hiyo picha yako hapo. Zingatia nnachokwambia utasumbuliwa sana.Habari zenu my first time on jamii forum
Kujiunga kwangu humu ni kugusa jamii kuhusu BULLYING/HARASSMENT UONEVU/UNYANYASAJI
watoto,vijana, wanawake pia wanaume ambao wamewekwa nyuma kwenye kundi hili
Na kwakuanza ningependa nianze na BULLYING/uonevu Hasa kwa watoto
Watoto wengi mashuleni na hata mitaani wamekuwa wakikumbana na changamoto hii na wengi wamekuwa hawana pakusemea hasa kutokana na mazingira ya nyumbani hasa wazazi kuwa wakali au kuwa busy.
Watoto hukutana na uonevu wa kimwili au kimaneno na wengi huwa wanashindwa kujitetea sababu mtu anayemfanyia kitendo hicho anaweza kuwa amemzidi nguvu au uwezo wa kimaisha hali hii hupelekea watoto wengi kupata matatizo ya kisaikolojia.
Ikiwa wewe kama mzazi unachukua hatua gani kwenye malezi ya mtoto,je mara ya mwisho ni lini umekaa kuongea na mtoto wako kirafiki kujua maendeleo yake si tu ya kielemu bali ya afya yake kiakili na kimwili,wengi wetu huja kujua madhara ikiwa tayari tumeshachalewa na watoto wetu wakiwa wameshaathiriwa kwa kiasi kikubwa.
Wewe kama mzazi part yako ni ipi unayo play kwa mtoto wako,
Karibu kwa maoni
View attachment 1968796
Naomba na nambari ya mobile phone.Habari zenu my first time on jamii forum
Kujiunga kwangu humu ni kugusa jamii kuhusu BULLYING/HARASSMENT UONEVU/UNYANYASAJI
watoto,vijana, wanawake pia wanaume ambao wamewekwa nyuma kwenye kundi hili
Na kwakuanza ningependa nianze na BULLYING/uonevu Hasa kwa watoto
Watoto wengi mashuleni na hata mitaani wamekuwa wakikumbana na changamoto hii na wengi wamekuwa hawana pakusemea hasa kutokana na mazingira ya nyumbani hasa wazazi kuwa wakali au kuwa busy.
Watoto hukutana na uonevu wa kimwili au kimaneno na wengi huwa wanashindwa kujitetea sababu mtu anayemfanyia kitendo hicho anaweza kuwa amemzidi nguvu au uwezo wa kimaisha hali hii hupelekea watoto wengi kupata matatizo ya kisaikolojia.
Ikiwa wewe kama mzazi unachukua hatua gani kwenye malezi ya mtoto,je mara ya mwisho ni lini umekaa kuongea na mtoto wako kirafiki kujua maendeleo yake si tu ya kielemu bali ya afya yake kiakili na kimwili,wengi wetu huja kujua madhara ikiwa tayari tumeshachalewa na watoto wetu wakiwa wameshaathiriwa kwa kiasi kikubwa.
Wewe kama mzazi part yako ni ipi unayo play kwa mtoto wako,
Karibu kwa maoni
Sijui hata nikufahamishe vipi maana mda mrefu sijawahi kupost picha halafu nikafutaI can't remove it najaribu toka yesterday ila siwezi unaweza kunielekeza tafadhali
Kuna m1 juz marekani, alikua shule wakamzngua akatoa mkwaju kweny begi..aliekua mbele kala 4 Yuko i.c.u (coma) na majeruh wengne 3..familia imemtetea akapewa dhamana, na jana kapost Yuko kweny party home.Habari zenu my first time on jamii forum
Kujiunga kwangu humu ni kugusa jamii kuhusu BULLYING/HARASSMENT UONEVU/UNYANYASAJI
watoto,vijana, wanawake pia wanaume ambao wamewekwa nyuma kwenye kundi hili
Na kwakuanza ningependa nianze na BULLYING/uonevu Hasa kwa watoto
Watoto wengi mashuleni na hata mitaani wamekuwa wakikumbana na changamoto hii na wengi wamekuwa hawana pakusemea hasa kutokana na mazingira ya nyumbani hasa wazazi kuwa wakali au kuwa busy.
Watoto hukutana na uonevu wa kimwili au kimaneno na wengi huwa wanashindwa kujitetea sababu mtu anayemfanyia kitendo hicho anaweza kuwa amemzidi nguvu au uwezo wa kimaisha hali hii hupelekea watoto wengi kupata matatizo ya kisaikolojia.
Ikiwa wewe kama mzazi unachukua hatua gani kwenye malezi ya mtoto,je mara ya mwisho ni lini umekaa kuongea na mtoto wako kirafiki kujua maendeleo yake si tu ya kielemu bali ya afya yake kiakili na kimwili,wengi wetu huja kujua madhara ikiwa tayari tumeshachalewa na watoto wetu wakiwa wameshaathiriwa kwa kiasi kikubwa.
Wewe kama mzazi part yako ni ipi unayo play kwa mtoto wako,
Karibu kwa maoni