New Huawei G6 for sale

New Huawei G6 for sale

Kina The Bold wanapendwa kwa kuleta mada zinazosisimua

Wacha wengine tujitutumue kwa njia nyingine
Huwezi jua kuna ka dodo kataanguka kwenye muarobaini

umemkomalia sana jamaa.

Anyways,hebu fanya hiyo njia nyingine.
Ni vizuri kuwa unique
 
umemkomalia sana jamaa.

Anyways,hebu fanya hiyo njia nyingine.
Ni vizuri kuwa unique
Teh teh ni ukweli tu na ka wivu kananisumbua ndio maana namuonea gere jamaa ,kwani nani hapendi kuwa na manzi mkali ?


Hiyo 500k ni kama mali kauli yaani sina ila naweka bond Kitanda na Chaga au unaonaje teh
Fanya kunitumia namba PM tuwasiliane zaidi
 
Mkuu umeshaiuza? Kama bado ikikupendeza njoo PM nina 600Killo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom