New Huawei G6 for sale

New Huawei G6 for sale

Nifah

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2014
Posts
34,410
Reaction score
82,319
Model Huawei G6-U10

Ram 1Gb

Phone storage 4Gb

Android Version 4.3

Ina 4G

Camera 8/5 MP
fd3c2555f54130dfba5279254cea5a43.jpg

6b80ce86c2ced678b972f39b0c336e4a.jpg

Bei 300k (laki 3),Negotiable.

Kwa serious buyers cheki nami PM kwa mawasiliano na picha zaidi.
Napatikana Dsm.
Karibuni.
 
lakini si ulipewa Zawadi......kumbe Zawadi inauzika?
 
lakini si ulipewa Zawadi......kumbe Zawadi inauzika?
uwiiiiiiii nimechekaaaaaa.
Zawadi ni Huawei P6 mkuu,hii ni Huawei g6.
Rudi ukasome ile post ya zawadi,bora nilivyoiweka aiseeee.
 
uwiiiiiiii nimechekaaaaaa.
Zawadi ni Huawei P6 mkuu,hii ni Huawei g6.
Rudi ukasome ile post ya zawadi,bora nilivyoiweka aiseeee.
kila la kheri katika biashara yako!ila ujue wengine tuko makini na Zawadi yako
 
Laki 2 Niko geita vipi biashara tutafanyaje?
Fanya 250 tufanye hivi...
200 utanitumia nami nifanye mchakato wa kukutumia (kupitia basi)
Ukishapokea mzigo utanimalizia 50,kumbuka hapo nitagharamia usafiri mimi.
Kikubwa uaminifu tu.
Deal?
 
Fanya 250 tufanye hivi...
200 utanitumia nami nifanye mchakato wa kukutumia (kupitia basi)
Ukishapokea mzigo utanimalizia 50,kumbuka hapo nitagharamia usafiri mimi.
Kikubwa uaminifu tu.
Deal?
Auta niwekea mche wa sabuni
 
Fanya 250 tufanye hivi...
200 utanitumia nami nifanye mchakato wa kukutumia (kupitia basi)
Ukishapokea mzigo utanimalizia 50,kumbuka hapo nitagharamia usafiri mimi.
Kikubwa uaminifu tu.
Deal?
Auta niwekea mche wa sabuni
 
Auta niwekea mche wa sabuni
wote muwe makini!mnaweza tumiana mche Wa sabuni,au ukaiuza simu kwa 200K...kwamba anatuma 200K then ukituma akiipokea ndio hatupatikana milele!so kuondoa vishawishi please kila mtu awe makini!nashauri huyo Wa Geita ahakikishe ana mtu Daslam then biashara ifanyike!Tena niffah umlete kwenu na aje na fedha mkononi asije kuita mahala ukajikuta unaitoa simu bure,then muhamala Wa Tigo pesa ukazuiwa!ANGALIZO KUU HILI
 
Auta niwekea mche wa sabuni
Oh dear,can't do such a shit bhana.
Nataka tufanye hili kwa kuaminiana,kuna ushauri jamaa kautoa hapo juu...usome then uniambie unaonaje.
All in all mwisho wa mchakato ruksa kuleta mrejesho wako kwa kile ulichopokea.

Kuna leo na kesho,hii haitokuwa biashara yangu ya mwisho kufanya,sipendi kuchafua ID yangu
 
wote muwe makini!mnaweza tumiana mche Wa sabuni,au ukaiuza simu kwa 200K...kwamba anatuma 200K then ukituma akiipokea ndio hatupatikana milele!so kuondoa vishawishi please kila mtu awe makini!nashauri huyo Wa Geita ahakikishe ana mtu Daslam then biashara ifanyike!Tena niffah umlete kwenu na aje na fedha mkononi asije kuita mahala ukajikuta unaitoa simu bure,then muhamala Wa Tigo pesa ukazuiwa!ANGALIZO KUU HILI
Sure,kama ana ndugu Dsm itakuwa vizuri zaidi.
Ngoja tumsikilize.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom