matukio km haya yapo nchi zote zinazojiita za kiislam..pakistani kuambiwa wana kichaa..km ni mwanamume anaadhibiwa n akuwekwa ndani akipewa muda wa kurudia dini akibisha ni kifo,mwanamke huwa anawahishwa haraka sana.Misri hawabadili kitambulisho wala jina.Hata kujenga makanisa lazima kibali..hata kama kanisa wamebomoa waislam kwa visingizio vya kitoto km kile cha mtoto kukojolea kuran....na kibali hukataliwa tolewa.Hata kukarabaki Kanisa ni kibali..lengo ni kuhakikisha makanisa yanaisha na ama kwa kubomoka kabisa au kuyabomoa.....haafu bado wanajisifu kuwa dini yao inakuwa haraka sana....ila mbinu zao na watu wanaowapata hawaangalii hilo.