BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,507
- 11,883
Jamani hivi hawa dawasco na tanesco wana akili au?kutokana na upanuzi wa barabara ya bagamoyo kuanzia moroko kwa sasa kuna zoezi linaloendelea la kuhamisha mabomba ya maji na nguzo za umeme!issue inakuja ktk size quality ya bomba zina inch 8 tuu jee kwa hali ya mahitaji ya maji dar hiyo size itakidhi chochote?haya bado tanesco wanaweka nguzo za miti za kizamani kwa nn wasitumie nguzo za kisasa za aluminium kama zile zile zilizopita kwa kakobe?