......Mkuu hujatueleza kama ulienda kwa ajili ya kupata dawa ama kinga. Pia ulienda kwa ajili ya gonjwa gani kati ya yale makuu manne?Jionee mwenyewe Mambo ya kwa BABU. Huo umati Muhimbili haifui dafu
Ila Hospitali ya babu yaelekea haina longolongo.
NOTE: Babu ana miaka zaidi ya 70........