Never share your dreams with the loosers

Never share your dreams with the loosers

Please,please,please
Never share your dreams with the losers,WHY?
"They will always give you 99 reasons why your dreams won't come true,but you only have a single reason to prove them wrong"

And if you want to learn anything consult an expert.kwa mfano
Golf------Golf pro
Football---qualified coach
As a matter of fact huwezi omba ushauri wa kujiajiri kwa mtu aliyeajiriwa.

In essence,the world of entreprenuership needs us to be like diamond.And Diamond is the hardest substance known and to cut a diamond you need a diamond
Nimalizie kwa kusema;Diamond will never stop being a diamond and become a regular rock because few cant afford it,it remains a Treasure!!!Become a diamond,become a person of value and that is the profound meaning of success.
Muwe na wakati mzuri,until then
Good neighbour


It seems you came from a very low family background & very primitive

And you went to school but still uneducated, mentally locked in.. ur looking backward & you wanna move forward, you will crash, Look forward & move forward, acha uswahili don't waste ur time to prove any one wrong, WASTE UR TIME TO DEVELOP & GROW YOURSELF BIGGER & BIGGER, achana na mental darkness ya kizamani ya kutaka kushindana hovyo hovyo, look into urself and una mengi ya kujiendeleza haraka haraka sana.. Clock ( time ) is ticking
 
Kuna mtu ukimuelezea Idea yako anaanza aah wapi hapa
Tandale hiyo biashara ufanyi kuna fulani alifanyaga akashindwa
Akaja mchaga gani sijui akashindwa....
Mara hapa wanga wengi hawapendi maendeleo kabisa kwanza hela yako hautaiona

Ukiwa muoga unaquit anakuja mwingine anaanzisha biashara kama hiyo..
Akianza kufanikiwa utasikia

Jamaa kajipanga siyo mchezo anauza pale mmmh....

Nadhani kuwa na maamuzi magumu ni muhimu zaidi
 
It seems you came from a very low family background & very primitive

And you went to school but still uneducated, mentally locked in.. ur looking backward & you wanna move forward, you will crash, Look forward & move forward, acha uswahili & mental darkness
Umeona sasa shida hiyo?
Knowledge will forever govern ignorance.
Jadili mawazo not personal life
Mada haizungumzii ubinafsi(selfishness)
Huna Logical thinking/reasoning
Umepoteza muda wako kuongea Pumba how pathetic is that
 
Bongo wanga wengi sana unaweza kuwa mtu peace unashare idea na wana lakini haohao ndio wanakusnitch.

Kushare michongo na wana ni kitu nzuri sana ukikutana na wenye roho safi.

Ila balaa ni pale ukikutana na wenye roho ya kwanini,watataka wakushushe uwe katika level zao msitofautiane, binadamu wanapenda ufanye vizuri ila si zaidi yao.


Tunaishi dunia ya unafiki mwingi, ukijifanya kuanika siri zako utaipenda tu mbona.
 
Bongo wanga wengi sana unaweza kuwa mtu peace unashare idea na wana lakini haohao ndio wanakusnitch.

Kushare michongo na wana ni kitu nzuri sana ukikutana na wenye roho safi.

Ila balaa ni pale ukikutana na wenye roho ya kwanini,watataka wakushushe uwe katika level zao msitofautiane, binadamu wanapenda ufanye vizuri ila si zaidi yao.


Tunaishi dunia ya unafiki mwingi, ukijifanya kuanika siri zako utaipenda tu mbona.
Vizuri kwa kunielewa mkuu.
Hatukatai kushea dreams ila jiulize unashea na nani?kwanini? Ili iweje?
Naona wasionielewa wao wamejikita kama mada inahusu ubinafsi au hutaki kuwambia watu fursa unazoziona.
Kazi ipo
 
Porojo tu hizi, mambo ya imani tu hayo ndio imekujenga hivyo,

Ilamaana mtu mwenye ndoa hawezi shauriwa jambo la maisha na mtu asiye na ndoa,?

Hizo ni imani tu
 
Porojo tu hizi, mambo ya imani tu hayo ndio imekujenga hivyo,

Ilamaana mtu mwenye ndoa hawezi shauriwa jambo la maisha na mtu asiye na ndoa,?

Hizo ni imani tu
Hahaha
Swali lako linahusiana vipi na dreams?
Labda kuna tofauti gani kati ya dreams,ideas,visions?
 
Mambo ya kimombo hayooo.
Ila shule raha jamani khaaa unatiririka tu utadhani upo ulaya hahaaa... Unasahau kabisa kwamba akina ngumbaru pia tuna tunasomaga.
 
Mleta mada, ungetumia tu lugha ya Taifa huwenda ungeeleweka vizuri na wale tunao toka njee ya mada.


Kama we ni mzungu sawa.
 
Please, please, please!

Never share your dreams with the losers, Why?"They will always give you 99 reasons why your dreams won't come true, but you only have a single reason to prove them wrong"And if you want to learn anything consult an expert.

Kwa mfano;
Golf------Golf pro
Football---qualified coach

As a matter of fact huwezi omba ushauri wa kujiajiri kwa mtu aliyeajiriwa.
In essence, the world of entreprenuership needs us to be like diamond. And diamond is the hardest substance known and to cut a diamond you need a diamond.

Nimalizie kwa kusema; diamond will never stop being a diamond and become a regular rock because few cant afford it, it remains a treasure become a diamond, become a person of value and that is the profound meaning of success.

Muwe na wakati mzuri, until then

Good neighbour
Binafsi nimekuelewa, Naamini wengi wanakupinga kwa sababu ya misunderstanding inayotokana na neno loosers.

Wengi wametumia tafsiri ya kawaida ya loosers kama "watu ambao hawajafanikiwa katika jambo fulani kimaisha."

loosers wanaouzungumziwa hapa ni wale watu wenye negative perceptions na wametawaliwa na negativity katika maisha yao. Waoga wa kujaribu na wanaopenda kukatisha wenzao tamaa.Sio wapenzi wa kujifunza vitu vipya wala kukosolewa na daima wao hujifanya ndio wajuaji.Wanawivu na hawapendi kumuona mtu kafanikiwa. Hao ndio loosers na tabia zao ndio zinazowafanya wasifanikiwe.
 
Binafsi nimekuelewa, Naamini wengi wanakupinga kwa sababu ya misunderstanding inayotokana na neno loosers.

Wengi wametumia tafsiri ya kawaida ya loosers kama "watu ambao hawajafanikiwa katika jambo fulani kimaisha."

loosers wanaouzungumziwa hapa ni wale watu wenye negative perceptions na wametawaliwa na negativity katika maisha yao. Waoga wa kujaribu na wanaopenda kukatisha wenzao tamaa.Sio wapenzi wa kujifunza vitu vipya wala kukosolewa na daima wao hujifanya ndio wajuaji.Wanawivu na hawapendi kumuona mtu kafanikiwa. Hao ndio loosers na tabia zao ndio zinazowafanya wasifanikiwe.
Lakini hata ukitumia tafsiri ya kawaida unakua upo sawa.

Hauwezi kuwa na ndoto za kuwa Padre alafu mentor wako awe mtu aliyefukuzwa upadre.
 
Binafsi nimekuelewa, Naamini wengi wanakupinga kwa sababu ya misunderstanding inayotokana na neno loosers.

Wengi wametumia tafsiri ya kawaida ya loosers kama "watu ambao hawajafanikiwa katika jambo fulani kimaisha."

loosers wanaouzungumziwa hapa ni wale watu wenye negative perceptions na wametawaliwa na negativity katika maisha yao. Waoga wa kujaribu na wanaopenda kukatisha wenzao tamaa.Sio wapenzi wa kujifunza vitu vipya wala kukosolewa na daima wao hujifanya ndio wajuaji.Wanawivu na hawapendi kumuona mtu kafanikiwa. Hao ndio loosers.
Imebidi niangalie avatar yako kwanza.
Namuona sir Albert Einstein whom i believe is one of the greatest scientists ever lived.
Umemtendea haki,asante kwa maelezo mazuri sana!!!i appreciate sana,sana mchango wako
 
Back
Top Bottom