Afande Nyati
JF-Expert Member
- Nov 10, 2012
- 2,385
- 1,414
Wakuu nina samsung s4 nili unlock kwa 7bu ilikuwa haisomi mtandao wa tz lakini baada ya hapo 3g network imekuwa ikisoma kwa shida. Nilikuwa naomba Kwa yeyote ambaye anaweza kunisaidia ku fix hili tatizo pls tuwasiliane.