Network samsung galaxy s4

Network samsung galaxy s4

Afande Nyati

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2012
Posts
2,385
Reaction score
1,414
Wakuu nina samsung s4 nili unlock kwa 7bu ilikuwa haisomi mtandao wa tz lakini baada ya hapo 3g network imekuwa ikisoma kwa shida. Nilikuwa naomba Kwa yeyote ambaye anaweza kunisaidia ku fix hili tatizo pls tuwasiliane.
 
Hiyo shida ni kwako tu au na kwa wengine? Umejaribu laini tofauti?
 
Hiyo shida ni kwako tu au na kwa wengine? Umejaribu laini tofauti?

Hii ni kwa cm yangu tu. Line inasoma ila network ya 3g kutumia internet ndo shida. Mafundi wengi waongo waongo thus y nahofia kupeleka ndo nikaomba msaada humu 7bu humu v2 vingi vinawezekana.


Hiyo shida ni kwako tu au na kwa wengine? Umejaribu laini tofauti?




Hiyo shida ni kwako tu au na kwa wengine? Umejaribu laini tofauti?




Hiyo shida ni kwako tu au na kwa wengine? Umejaribu laini tofauti?
 
Back
Top Bottom