mwanasiasa masalia
Member
- Jun 12, 2016
- 46
- 22
hapo ni yule jamaa CHURA akimuiga Tambiii kufunga..... no wonder mmebatizwa jina la The Kilimanjaro Queens Fc....
Na huku upo? Aisee bora tumalizie viporo vyetu ili kelele zipungueHahahaha "The Kilimanjaro Qeens"
Viporo au kiporo?Na huku upo? Aisee bora tumalizie viporo vyetu ili kelele zipungue
vyovyote tu, maana vyetu huwa havichachi, na ukiona wamchangani wanaongoza ligi ujue yanga ina kiporoViporo au kiporo?
tuna pointi 23 na Mbereko FC 15 sasa hicho kiporo kitakusaidia nini?mbaya zaidi timu mbovu huna uhakika wakushinda hata kwa 41%vyovyote tu, maana vyetu huwa havichachi, na ukiona wamchangani wanaongoza ligi ujue yanga ina kiporo
hapo ni yule jamaa CHURA akimuiga Tambiii kufunga..... no wonder mmebatizwa jina la The Kilimanjaro Queens Fc....