Doppelganger
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 1,858
- 758
dogo soma magazeti ya Israel au fungua Al Alam tv. Tazama breaking news ya gazeti la Israel. dogo si waislam huwa hatusemi uwongo kama nyie wakristo.
9:38 AM Lebanese media: Beirut received assurances from West that IDF not planning new front (Haaretz) http://www.haaretz.com/
Wakristo sa kale kasanamu kenu mbona hakajazuia waisrael kufa.Stop udini wewe.
Eti sisi tunasema ukweli na nyinyi uwongo...really??
Disgusting!!!
Wakristo huwa mnafurahi sana Israel akiwauwa warabu, sa leo naona mapovu yanawatoka.Uislam ni shida nyingine hapa duniani. Yani mpo kisharishari tuu.
Israel anaomba UN waingilie kusimamisha vita kati yake na Hezbollah, Natanyahau kazidiwa jamani.
Hata Hamas Israel hamuwezi kitu gani alicho kifany agaza zaidi ya kuvunja majumba, Israel yeye anadhani kuvunja majumba, shule, hospital sijui mitambo ya umeme ndio kashidna vita, alienda gaza akasema anaenda ifuta Hamas kabisa isiwe ina exist na Hamas mpaa leo wapo wanaexist na jana wamemshangilia Hezbollah alicho kifanya.
Wakristo huwa mnafurahi sana Israel akiwauwa warabu, sa leo naona mapovu yanawatoka.
dogo Israel katuma ujumbe kuwa hataki vita na Hezbollah. Israel anajua wazi Hezbollah ni moto mkali sana kwake.
Mwanajeshi mstafu we sikiliza nyimbo tu , Israel na baba yake USA na NATO wanamuogopa Hezbollah kishenzi, hawataweza kuanzisha game pale, wanajua hawawezi kungia vita na Hezbollah. USA aliona kijeshi hamuwezi Hezbollah akatengeneza ISIS, yeye na Israel ili afanye ugomvi wa vita ya madhehebu ya kisilam pale Syria afu wawabane Hezbollah, kwa kupewa msada pia na nchi za kiarabu Saud Arabia, UAE, Jordan, Kuwait na Qatar na wameshindwa vita sasa. USA alitafuta kila njia Hezbollah wasishiriki katika serekali ya Lebanon alishindwa pia. Sa we unadhnai watafanya nini tena?Subiri wakubwa wapange namna gani wataadhibu hawa magaidi Israel haina papara itajibu kwa wakati muafaka na tutakuja hapahapa kuwajulisha maana haitakuwa siri nanyi mtakujua kuwa Israel ina mkono mrefu kiasi cha kuwafikia magaidi popote walipo dunuani.
Taifa la Mungu linaomba msaada.Israel anaomba UN waingilie kusimamisha vita kati yake na Hezbollah, Natanyahau kazidiwa jamani.
Naona unaongea drama kuifurahisha nafsi yako Netanyahau na raia wake wanakimbilia kwenye mapango kama nguchiro.Subiri wakubwa wapange namna gani wataadhibu hawa magaidi Israel haina papara itajibu kwa wakati muafaka na tutakuja hapahapa kuwajulisha maana haitakuwa siri nanyi mtakujua kuwa Israel ina mkono mrefu kiasi cha kuwafikia magaidi popote walipo dunuani.
Black Jews...Umma wa Kiislam ukiongozwa na Waarabu, Mungu amewanyima akili za ugunduzi, waarabu mpaka leo pamoja kwamba wamekuwepo tangu enzi za Ibrahim, lakini hata technolijia ya kutengeneza sindano hawana, wakati kaka yao Muisrael kagundua vitu kibao. Ndio maana utaona hapa Umma wa Kiislam wako inferior kiasi kwamba hata wakifanikiwa kuua muisrael mmoja dunia nzima itajua, hata hapa JF, jana nimeona eti watu wanaandamana Beirut kujipongeza kwa kuuawa kwa Waisrael 2. Poleni sana, endeleeni kumuomba Allah wenu ambae anasema hakuna Mungu isipokuwa yeye
Takbir naona majini yamepanda, relax dont panic. Makanda 6+1 general wa iran=7 kwa wanajeshi 2 ndo kulipa ivo!! Yaan ww kwa viakili vyako ukimkopesha mtu 500 akakupa 200 ndo umeshalipwa eti!!
Ulisema israel awezi kuwazogelea hezbollah ndo mana nikahoji hao makamanda 6 waliuwawa na nan?
Kanuni iko hivi: muisrael 1 waarab 100
Sa we unadhani adui ya muislam ni nani kama sio wakristo na wayahudi. Tazama vita anazo piagana USA na Israel zote wanapigana na waislam.Quran inasema adui wa waislam ni Myahudi na Mkristo, nahisi wewe ni Muislam, na kama wewe ni mwislam basi unafuata maandiko yenye chuki