Vita vya Israel na Palestina vinazidi kutoa matokeo hasi na ambayo hayakutarajiwa kabisa.
Mataifa rafiki na ya kiislamu yameanza kutofautiana na kuanza kupigana yenyewe mfano ni Iran na Pakistan na Iran kupiga ndani ya Syria na Iraq bila hofu ikiwinda vikundi vinavyofadhiliwa na Israel
Hata Jordan nayo imejiamini na kupiga maeneo ya mpakani na Syria kuzuia vikundi vinavyotengeneza madawa ya kulevya ili kuilevya mashariki ya kati yote.
Matokeo hasi zaidi ni tofauti kati ya raisi Biden na waziri mkuu wa Israel,Benjamin Netanyahu ambao kwa asili viongozi wote wa mataifa hayo huwa ni marafiki na wenye malengo mamoja.
Hata hivyo ubabe na kibri cha waziri mkuu wa Israel kimeendelea kumuudhi raisi Biden kwa vile anakataa mapendekezo yote ya Marekani kuhusu vita hivyo na kile kinachoitwa baada ya vita,
Raisi Biden akizingatia idadi kubwa ya wananchi wake wanaoiunga mkono Hamas na Palestina kwa jumla na pia akizingatia wapiga kura wanaoweza kumpigia kura yeye,amemtaka Netanyahu asiendelee kuua watu wa Gaza kiholea na kwamba ni lazima liundwe taifa la Palestina.
Kwa jeuri ya hali ya juu Netanyahu amekuwa akitoa matamko kupingana na malelekezo na mtazamo wa Biden.Mara kadhaa amekuwa akijibu mapendekezo hayo kwa kusema hakuna wa kuizuia Israel kuimaliza Hamas na kwamba hakuna mipango ya kuundwa kwa taifa la Palestina.
Kauli hizo zimemkasirisha sana raisi Biden na kujitenga kwa kiasi kikubwa na waziri mkuu huyo wa Israel ambaye amemsabibishia upinzani hadi ndani ya chama chake kuhusiana na Gaza.
Anafanya utapeli wa kisiasa tu kuwazuga pro=palestinians ili uchaguzi ujao apate kura zaoAnajitenga huku akiendelalea kusupply silaha
endelea kujifurahisha Israel sio Afrika , huku Afrika mnaua waafrika sijui wamewafanyia nini au nao wemewapora ardhi , hii dini ni ya shetan maana bila kumwaga damu haijisikii amaniVita vya Israel na Palestina vinazidi kutoa matokeo hasi na ambayo hayakutarajiwa kabisa.
Mataifa rafiki na ya kiislamu yameanza kutofautiana na kuanza kupigana yenyewe mfano ni Iran na Pakistan na Iran kupiga ndani ya Syria na Iraq bila hofu ikiwinda vikundi vinavyofadhiliwa na Israel
Hata Jordan nayo imejiamini na kupiga maeneo ya mpakani na Syria kuzuia vikundi vinavyotengeneza madawa ya kulevya ili kuilevya mashariki ya kati yote.
Matokeo hasi zaidi ni tofauti kati ya raisi Biden na waziri mkuu wa Israel,Benjamin Netanyahu ambao kwa asili viongozi wote wa mataifa hayo huwa ni marafiki na wenye malengo mamoja.
Hata hivyo ubabe na kibri cha waziri mkuu wa Israel kimeendelea kumuudhi raisi Biden kwa vile anakataa mapendekezo yote ya Marekani kuhusu vita hivyo na kile kinachoitwa baada ya vita,
Raisi Biden akizingatia idadi kubwa ya wananchi wake wanaoiunga mkono Hamas na Palestina kwa jumla na pia akizingatia wapiga kura wanaoweza kumpigia kura yeye,amemtaka Netanyahu asiendelee kuua watu wa Gaza kiholea na kwamba ni lazima liundwe taifa la Palestina.
Kwa jeuri ya hali ya juu Netanyahu amekuwa akitoa matamko kupingana na malelekezo na mtazamo wa Biden.Mara kadhaa amekuwa akijibu mapendekezo hayo kwa kusema hakuna wa kuizuia Israel kuimaliza Hamas na kwamba hakuna mipango ya kuundwa kwa taifa la Palestina.
Kauli hizo zimemkasirisha sana raisi Biden na kujitenga kwa kiasi kikubwa na waziri mkuu huyo wa Israel ambaye amemsabibishia upinzani hadi ndani ya chama chake kuhusiana na Gaza.
"Ogopaah wajidanganyee" Nimecheka sana. Wacha ni declare interest mimi ni msukuma.Kinachompa kiburi Netanyahu ni Tanzania, Hata US akiisusa Israel Tanzania ipo na tupo vizuri , nani hafahamu zile ndege zetu za kijeshi huwa zinapita uwanjani siku za uhuru, vifaru vyetu n.k.
Hata Navy Seal hana uwezo kuvunja tofali kwa kichwa, ogopaah! wajidanganye.
Kama ulikuwa unadhani Muddy na Mwamedi ni watu wawili tofauti pole Sana.Vita vya Israel na Palestina vinazidi kutoa matokeo hasi na ambayo hayakutarajiwa kabisa.
Mataifa rafiki na ya kiislamu yameanza kutofautiana na kuanza kupigana yenyewe mfano ni Iran na Pakistan na Iran kupiga ndani ya Syria na Iraq bila hofu ikiwinda vikundi vinavyofadhiliwa na Israel.
Hata Jordan nayo imejiamini na kupiga maeneo ya mpakani na Syria kuzuia vikundi vinavyotengeneza madawa ya kulevya ili kuilevya mashariki ya kati yote.
Matokeo hasi zaidi ni tofauti kati ya raisi Biden na waziri mkuu wa Israel,Benjamin Netanyahu ambao kwa asili viongozi wote wa mataifa hayo huwa ni marafiki na wenye malengo mamoja.
Hata hivyo ubabe na kibri cha waziri mkuu wa Israel kimeendelea kumuudhi raisi Biden kwa vile anakataa mapendekezo yote ya Marekani kuhusu vita hivyo na kile kinachoitwa baada ya vita.
Raisi Biden akizingatia idadi kubwa ya wananchi wake wanaoiunga mkono Hamas na Palestina kwa jumla na pia akizingatia wapiga kura wanaoweza kumpigia kura yeye,amemtaka Netanyahu asiendelee kuua watu wa Gaza kiholea na kwamba ni lazima liundwe taifa la Palestina.
Kwa jeuri ya hali ya juu Netanyahu amekuwa akitoa matamko kupingana na malelekezo na mtazamo wa Biden.Mara kadhaa amekuwa akijibu mapendekezo hayo kwa kusema hakuna wa kuizuia Israel kuimaliza Hamas na kwamba hakuna mipango ya kuundwa kwa taifa la Palestina.
Kauli hizo zimemkasirisha sana raisi Biden na kujitenga kwa kiasi kikubwa na waziri mkuu huyo wa Israel ambaye amemsabibishia upinzani hadi ndani ya chama chake kuhusiana na Gaza.
Wabongo aiseeVita vya Israel na Palestina vinazidi kutoa matokeo hasi na ambayo hayakutarajiwa kabisa.
Mataifa rafiki na ya kiislamu yameanza kutofautiana na kuanza kupigana yenyewe mfano ni Iran na Pakistan na Iran kupiga ndani ya Syria na Iraq bila hofu ikiwinda vikundi vinavyofadhiliwa na Israel.
Hata Jordan nayo imejiamini na kupiga maeneo ya mpakani na Syria kuzuia vikundi vinavyotengeneza madawa ya kulevya ili kuilevya mashariki ya kati yote.
Matokeo hasi zaidi ni tofauti kati ya raisi Biden na waziri mkuu wa Israel,Benjamin Netanyahu ambao kwa asili viongozi wote wa mataifa hayo huwa ni marafiki na wenye malengo mamoja.
Hata hivyo ubabe na kibri cha waziri mkuu wa Israel kimeendelea kumuudhi raisi Biden kwa vile anakataa mapendekezo yote ya Marekani kuhusu vita hivyo na kile kinachoitwa baada ya vita.
Raisi Biden akizingatia idadi kubwa ya wananchi wake wanaoiunga mkono Hamas na Palestina kwa jumla na pia akizingatia wapiga kura wanaoweza kumpigia kura yeye,amemtaka Netanyahu asiendelee kuua watu wa Gaza kiholea na kwamba ni lazima liundwe taifa la Palestina.
Kwa jeuri ya hali ya juu Netanyahu amekuwa akitoa matamko kupingana na malelekezo na mtazamo wa Biden.Mara kadhaa amekuwa akijibu mapendekezo hayo kwa kusema hakuna wa kuizuia Israel kuimaliza Hamas na kwamba hakuna mipango ya kuundwa kwa taifa la Palestina.
Kauli hizo zimemkasirisha sana raisi Biden na kujitenga kwa kiasi kikubwa na waziri mkuu huyo wa Israel ambaye amemsabibishia upinzani hadi ndani ya chama chake kuhusiana na Gaza.
endelea kujifurahisha Israel sio Afrika , huku Afrika mnaua waafrika sijui wamewafanyia nini au nao wemewapora ardhi , hii dini ni ya shetan maana bila kumwaga damu haijisikii amani
Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
Kama ulikuwa unadhani Muddy na Mwamedi ni watu wawili tofauti pole Sana.
Israel ipo kwenye katiba ya Marekani.
Ipoje huko kwenye katiba? Au kwa kusadikika?Kama ulikuwa unadhani Muddy na Mwamedi ni watu wawili tofauti pole Sana.
Israel ipo kwenye katiba ya Marekani.
Hao niwajanja wanauma nakupulizaAnajitenga huku akiendelalea kusupply silaha
Kila post yako lazima uongelee ushoga alafu hata israel hawakujui yaani unachofanya ni kuku kumlaani mweweKweli kabisa israeli sio Afrika kwani ina wanajeshi waliobadishwa uume wao na kubandikwa papuchi
View attachment 2876282
Kunywa maji ya kutosha kijanaendelea kujifurahisha Israel sio Afrika , huku Afrika mnaua waafrika sijui wamewafanyia nini au nao wemewapora ardhi , hii dini ni ya shetan maana bila kumwaga damu haijisikii amani
Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
Wewe utakuwa ni mtoto si riziki , hivi utaupendaje ushoga,Kila post yako lazima uongelee ushoga alafu hata israel hawakujui yaani unachofanya ni kuku kumlaani mwewe
Hii habari ni tamu sana lakini imekosa ladha haina chanzo, natamani kusikia habari kama hizi ili Wazayuni wadhalilike zaidi na zaidiVita vya Israel na Palestina vinazidi kutoa matokeo hasi na ambayo hayakutarajiwa kabisa.
Mataifa rafiki na ya kiislamu yameanza kutofautiana na kuanza kupigana yenyewe mfano ni Iran na Pakistan na Iran kupiga ndani ya Syria na Iraq bila hofu ikiwinda vikundi vinavyofadhiliwa na Israel.
Hata Jordan nayo imejiamini na kupiga maeneo ya mpakani na Syria kuzuia vikundi vinavyotengeneza madawa ya kulevya ili kuilevya mashariki ya kati yote.
Matokeo hasi zaidi ni tofauti kati ya raisi Biden na waziri mkuu wa Israel,Benjamin Netanyahu ambao kwa asili viongozi wote wa mataifa hayo huwa ni marafiki na wenye malengo mamoja.
Hata hivyo ubabe na kibri cha waziri mkuu wa Israel kimeendelea kumuudhi raisi Biden kwa vile anakataa mapendekezo yote ya Marekani kuhusu vita hivyo na kile kinachoitwa baada ya vita.
Raisi Biden akizingatia idadi kubwa ya wananchi wake wanaoiunga mkono Hamas na Palestina kwa jumla na pia akizingatia wapiga kura wanaoweza kumpigia kura yeye,amemtaka Netanyahu asiendelee kuua watu wa Gaza kiholea na kwamba ni lazima liundwe taifa la Palestina.
Kwa jeuri ya hali ya juu Netanyahu amekuwa akitoa matamko kupingana na malelekezo na mtazamo wa Biden.Mara kadhaa amekuwa akijibu mapendekezo hayo kwa kusema hakuna wa kuizuia Israel kuimaliza Hamas na kwamba hakuna mipango ya kuundwa kwa taifa la Palestina.
Kauli hizo zimemkasirisha sana raisi Biden na kujitenga kwa kiasi kikubwa na waziri mkuu huyo wa Israel ambaye amemsabibishia upinzani hadi ndani ya chama chake kuhusiana na Gaza.