HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 73,291
- 103,493
Elungata
Kwa sasa hakika Israel hawezi enda kwa Iran maana Obama anaweza goma msaidia.
Republicans wakiingia ataweza fanya hivyo.
Ila kuishambulia Iran inabidi umshambulie haswa ili asiweze pumua afu upeleke ground troops vinginevyo tegemea retaliation ya hatari sana.
Hapo inabidi amrukie akiwa hajajiandaa aharibu airport, fighters, nucleur facilities na bombs facilities, aharibu ma bandari ili mrusi asipeleke misaada ya mabomu.
Pia its a gamble maana itaamsha vita kubwa sana pale Middle East.
Kwa sasa hakika Israel hawezi enda kwa Iran maana Obama anaweza goma msaidia.
Republicans wakiingia ataweza fanya hivyo.
Ila kuishambulia Iran inabidi umshambulie haswa ili asiweze pumua afu upeleke ground troops vinginevyo tegemea retaliation ya hatari sana.
Hapo inabidi amrukie akiwa hajajiandaa aharibu airport, fighters, nucleur facilities na bombs facilities, aharibu ma bandari ili mrusi asipeleke misaada ya mabomu.
Pia its a gamble maana itaamsha vita kubwa sana pale Middle East.
Last edited by a moderator: