Netanyahu aondolewa Uwaziri Mkuu

Uzuri wao, mtu ana badirika lakini sera zao za mashariki ya kati ziko vile vile tu!!
ni kweli kabisa kwasababu huyo bennet alipata kuwa hata waziri wa linzi wa netanyahu kama sijakosea. ila nakumbuka katika mapigano yaliyopita nliwa kusema humu ndani hizo njia zake za kutumia mgogoro wa isarael na hamasi zimesha kwisha na nafkir i was correctly in my speculation
 
Huyu kamanda ni balaa bora Benny
 
Kwa wenzetu ni mifumo inayofanya Kazi,
Taasisi zinafanya Kazi kwa weredi bila kutegemea aliyepo Ikulu,huku kwetu Afrika nyeusi,Raisi ni kila kitu,kama alivyokuwa Jiwe

Miarabu/mizungu/miyahudi sio wenzako. Wao hawakuiti wewe mwenzao ila nyie wamatumbi kila siku 'kwa wenzetu'
 
apumzike sasa, toka niko primary jina lake nalisikia mpaka leo
Hakuna mapumziko ana kesi ambazo hazikuanza mchakato wa kimahkama kutokana na hadhi yake ya upm kwa vile kaacha ofis analazimika kukabiliana nazo mpaka kieleweke.
 
That ---I suppose --- will be the starting point for Israel to perish.

Many Westerners are fed up with Israel cunninngs,brutality etc. It is only their governments which support the barbaric zionist regime.
Are you sure the westerners are fed up with Israel ??
 
Wataifa mengi yanakaliwa na Israel kwenye nyanja za uongozi fuatilia hata aliyewahi kuwa Rais wa Iran wa NASABA na Israel "Ahamedinajab" i don't know if i spell it right
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…