Netanyahu ampigia simu Putin akimuomba awatulize Iran

Netanyahu ampigia simu Putin akimuomba awatulize Iran

️ President Vladimir Putin declines Netanyahu's request to mediate with Iran to halt the conflict.
Israel sought to avert Iran's response via Moscow, but Russia stood firm and refused to intervene.
Join our Telegram Channel t.me/PresidentPutin…
Endelea kujifariji tu Mwamba Netanyahu hatishiwi nyau!!
 
Baada ya kuona mbombo ngafu jamaa kamtwangia simu Putin na kumuomba eti aiombe Iran wasijibu zaidi.

Putin amekataa, Iran walifanikiwa kurestore mifumo yao ya Ulinzi wa Anga kwa masaa machache tu baada ya mauaji ya wale viongozi

Huko Israel walowezi wameanza kumlaumu Netanyahu kwa kuwaingiza kwenye vita ambayo hawawezi kuimudu

My take: Kipondo cha Iran kitaendelea mpaka utawala wa Israel uparalyse kabisa wairan sio watu wa kawaida wale.

View attachment 3367888View attachment 3367889

Hiyo haditho ulifundishwa na nani? Alikuambia ina maana gani?
 
Watateseka sana
Mkubwa unajua kuna watu humu wanatamani kufa kwa hii taarifa yako ni either ni ya ukweli au uongo.

Israel kaanza uchokozi mwenyew so acha apondwe tu.
 
Baada ya kuona mbombo ngafu jamaa kamtwangia simu Putin na kumuomba eti aiombe Iran wasijibu zaidi.

Putin amekataa, Iran walifanikiwa kurestore mifumo yao ya Ulinzi wa Anga kwa masaa machache tu baada ya mauaji ya wale viongozi

Huko Israel walowezi wameanza kumlaumu Netanyahu kwa kuwaingiza kwenye vita ambayo hawawezi kuimudu

My take: Kipondo cha Iran kitaendelea mpaka utawala wa Israel uparalyse kabisa wairan sio watu wa kawaida wale.

View attachment 3367888View attachment 3367889
 
Iran Mungu awasimamie washinde vita.
"Iran maintains three key nuclear sites: Natanz, Isfahan, and Fordow. Natanz and Isfahan have reportedly been rendered non-operational, in what defense sources describe as a substantial setback to Iran’s nuclear development efforts."
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom