Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 17,817
- 32,196
Mtu asiyeaminika, asiyeweka miadi.Morng africa
Ukilisikia neno mswahili kwako unapata maana gani yaani ukisikia mtu anaitwa mswahili ni picha gani inakujia juu ya mtu alie itwa mswahili
KingineMtu mbabaishaji mwenye maneno mengi
πππ kuaminika anaweza sema msimbufuMtu asiyeaminika, asiyeweka miadi.
Ahahahah mbona kuna wakishua wengine ni waswahiliAnaishi uswahilini
NimemalizaKingine
Ukichunguza vizuri utakuta ni kwa mjomba au shemeji yake huko, amepewa hifadhiAhahahah mbona kuna wakishua wengine ni waswahili
Kwishaaa!!; Hao wa kujibanza wanakuaga na mbwembwe acha!Ukichunguza vizuri utakuta ni kwa mjomba au shemeji yake huko, amepewa hifadhi
Kapitiwa vipi?
Ahahahah ase wewe kibokoUkichunguza vizuri utakuta ni kwa mjomba au shemeji yake huko, amepewa hifadhi
Ahahah mbambamba nying af holaSio mwaminifu mbambamba nyingi
Ahahhahaaa hii kiboko kwahiyo wanao kunywa kahawa ni waswahili?Anakunywa vile vikahawa vichungu na kashata, anacheza bao au Drumnadrochit. Anaweza akawa na busha halafu hataki operesheni
Kwahiyo unataka kusema anafaid mema ya familiaKwishaaa!!; Hao wa kujibanza wanakuaga na mbwembwe acha!
Jamaangu Moja tulitoka wote sehem Moja kufika dar kila mtu akafikia kwa mwenyeji wake, mi nlifikia kwa marafiki nliosoma nao yy akaenda Kwa ndugu zake Kwa kiasi flan Ile familia hela zipo rafiki hata lengo lililotuleta aliacha saiv daily kuweka status wanapokua viwanja ππ tukipiga story kwangu 50k ni kubwa lkn kwake 100k anaona kama jero tu