Neno moja kwa Mchungaji Gwajima

Neno moja kwa Mchungaji Gwajima







11079596_1182215031792913_4659528029246437147_n.jpg


Neno moja kwa Mchungaji J Gwajima

Malimao yanamuhusu
 

Attachments

  • 1446963299238.jpg
    1446963299238.jpg
    30.1 KB · Views: 541
Asimilia 82 ya Wanafunzi Wakosa Mikopo 2015/16

Zaidi-ya wanafundi 50,000 watashindwa kuendelea na masomo ya elimu ya juu kutokana na kushindwa kupata mikopo kutoka katika Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB).

Hayo yamebainika ikiwa ni siku tatu tangu HESLB kutoa majina ya wanafunzi waliofanikiwa kupata mikopo kwa mwaka wa masomo 2015/2016, huku idadi kubwa ikiwa haimo katika majina hayo.Katika mwaka huu wa masomo bodi ya mikopo imeweza kuwapatia mikopo wanafunzi 12,000 pekee sawa na 17.1% ya waombaji zaidi ya 70,000, hivyo kufanya idadi ya wanafunzi waliokosa mikopo kufikia asilimia 82.9 ya waombaji wote.

Bongolala,
Hii mikopo inamhusu nini Gwajima?
Kweli wewe Bongolala
 
Kweli watanzania bado naona elimu inahitajika,yaani hiyo ni mada ya kuleta jukwaani,kweli shallow minds discus people instead of ideas,mtaendelea kutawaliwa na umaskini juu.
 
Bongolala,
Hii mikopo inamhusu nini Gwajima?
Kweli wewe Bongolala

. Watanzania bongo lala .....badala ya wao kufaiti kujua tatizo liko wapi wao kazi kulalama tu!!!hacheni uvivu fatilia mjue wenzenu mwaka 2013 walifanyaje wakapata mkopo....mpigie huyu jamaa0712177649
 
Ushuhuda wa nabii ngwajima kwa watu wote,

kisha nikamuona yule mkuu wa mafisadi akiwa kakalia kiti cha enzi magogoni
nywele zake zilikua nyeupe kama theruji ,kulia na kushoto alikua alikua amezungukwa na makuhani wakubwa,
nao walikua wakimsujudia na kumsifu kuwa hakuna awezae kufanana na yeye...................
 
Tapeli toka lini akalala njaa.
Mnaibiwa huku mnapiga Haleluyah.
Majitu mazima mnadanganywa na huyu Mpitia wake za watu kuwa Anafufua watu na nyie mlivyo vichwa maji mnaingia mazima
Ngedere hata ufundishe vipi kumenya ndizi lzm ale na maganda tu.

We jamaa bwana we kila mahali unapenda kwenda nje ya topic tu, sijui bila kuonyesha uharo wako ulali usingizi au vipi?
 
We jamaa bwana we kila mahali unapenda kwenda nje ya topic tu, sijui bila kuonyesha uharo wako ulali usingizi au vipi?

Kila nikisema Ukweli Nalala isingizi mzito sana.
GWAJIMA Tapeli.
Au we hutaki nikuwekee picha?
 
Back
Top Bottom