Neno moja kwa huyu dada yetu

Yaan nilipo i soma tu title ya uzi huu nikajua tu moja Kwa moja anayezungumziwa atakuwa flani na ilipo funguka tu picha nikapigia mstari.
 
Mbona dada yako tunambanjua huku kitaa huna habar umekomaa na wema tu. AMKA.
 
Mbona pic yenyewe kama ime-ediwa kuvaa hilo vazi? Hebu angalia vizur kivuli chin ya kidevu hiyo black colour
 
Mrudie bwana mungu wako kwani nyakati za mwisho zinakaribia
 
Hahaaaaa nilifikiri nitakuta mdada mmoja nitakayependa kufata nyanja zake za kupaaa kimaisha nitoke uswazi...kumbe huyu khaaa!!!!!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…