C.T.U
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 5,080
- 3,769
wale wazee wa kununua wajasilia mwili a.k.a machangudoa hili neno mchati ni neno famous sana kwao
machangudoa mtu anayewanunua wanamwita mchati
utasikia "niko na mchati wangu" "yule mchati hajanipa hela" "yule mchati hela yake ndogo halafu hakoj** haraka"
n.k
sasa wadau hili neno nani anajua lilipoanza??
au unaweza tupa experience yako na hili neno
ewe kaka na ewe dada humu JF
BTW
NASHAURI LIINGIZWE KWENYE KAMUSI
MCHATI- MTU ANAYENUNUA MWANAMKE KWA AJILI YA KWENDA KUFANYA NAE NGONO
pasaka njema leo wote mtakaoukuwa wachati
kona bar, ambiance, kimboka, sewa bar, meeda, concord, maisha, sea cliff, brazili tegeta, mbezi kwa God, lambo, magomeni, Kinondoni
TUMIENI TU CONDOM