wa stendi JF-Expert Member Joined Jul 7, 2016 Posts 26,494 Reaction score 29,282 Aug 6, 2016 #1 Wakuu, naombwa kujuzwa. Hili neno "marehemu"ni kiswahili? Kwa lugha ya kwenu ni nini au mnamwitaje kwa kilugha ya kwenu.
Wakuu, naombwa kujuzwa. Hili neno "marehemu"ni kiswahili? Kwa lugha ya kwenu ni nini au mnamwitaje kwa kilugha ya kwenu.
LUBEDE JF-Expert Member Joined May 7, 2013 Posts 4,322 Reaction score 6,700 Aug 6, 2016 #2 wa stendi said: Wakuu, naombwa kujuzwa. Hili neno "marehemu"ni kiswahili? Kwa lugha ya kwenu ni nini au mnamwitaje kwa kilugha ya kwenu. Click to expand... mkuu sidhani kama umeeleweka ukitakacho,jaribu kurudia swali ili tuweze kukujibu
wa stendi said: Wakuu, naombwa kujuzwa. Hili neno "marehemu"ni kiswahili? Kwa lugha ya kwenu ni nini au mnamwitaje kwa kilugha ya kwenu. Click to expand... mkuu sidhani kama umeeleweka ukitakacho,jaribu kurudia swali ili tuweze kukujibu
B bitimkongwe JF-Expert Member Joined Oct 21, 2009 Posts 8,094 Reaction score 7,849 Aug 6, 2016 #3 LUBEDE said: mkuu sidhani kama umeeleweka ukitakacho,jaribu kurudia swali ili tuweze kukujibu Click to expand... Marehemu ni neno lenye asili ya kiarabu 'al marhum', vile vile 'maiti - mayyit' na mauti - maut Labda wa mikoani ndiyo wenye maneno mengine
LUBEDE said: mkuu sidhani kama umeeleweka ukitakacho,jaribu kurudia swali ili tuweze kukujibu Click to expand... Marehemu ni neno lenye asili ya kiarabu 'al marhum', vile vile 'maiti - mayyit' na mauti - maut Labda wa mikoani ndiyo wenye maneno mengine
wa stendi JF-Expert Member Joined Jul 7, 2016 Posts 26,494 Reaction score 29,282 Aug 6, 2016 Thread starter #4 Hata wa huko huko mikoani marehemu kwa jina lingine hata kama kilugha anaitwa nani