Neno la uzima

Neno la uzima

mbarikiwe wote ,katika siku hii mpya ya leo! tumuombe bwana Mungu wetu mauaji ya watu wasio na hatia yakome huko mashariki ya Kati! na katika Nchini kwetu na katika jamii yetu, upendo utamalaki daima dawamu! Chuki ni chukizo kwa Bwana Mungu wetu! Tusichukiane kwa tofauti za kiimani Wala kisiasa Hadi kupelekea kumwaga damu! Amin
amin!
 
Back
Top Bottom